Mi naona game ya leo Rosicky asicheze. Msimu uliopita game kama ya leo alitucost kwa kukosa penalty, then akasababisha corner iliyosababisha Bent kusawazisha kwenye dk za majeruhi!!
Mi naona game ya leo Rosicky asicheze. Msimu uliopita game kama ya leo alitucost kwa kukosa penalty, then akasababisha corner iliyosababisha Bent kusawazisha kwenye dk za majeruhi!!