Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe Huna wachezaji wa maana na ndio maana Nampa nafasi Spurs kumaliza juu yako
PFA Bruno Fernandes, cunha, mbeumo, maino, Martinez, lammens, rashford, amad, baleba

Improve reasoning yako, me nasubria GW5 ndio nijue timu bora nizipi
Usajili haumaanishi ubora wa timu kama ingekuwa hivyo nyie mngekuwa na makombe yote maana ndio mnaongoza Kwa sajili miaka yote ivi karibuni
 
Joao Pederito, na hapo timu ilikua haileweki, hilo striker lako japo timu ilikua na msimu bora bado alikua anaruka ruka tu.

Kuna Ekitike na Gyokeres unachukua yupi? au kuna Isak mzima msimu mzima na Gyokeres unachukua yupi?
Sawa.

Sasa andika hapa magoli ya Pedro

Magoli ya Isak

Magoli ya Ekitike

Magoli ya Gyokeres
 
Joao Pederito, na hapo timu ilikua haileweki, hilo striker lako japo timu ilikua na msimu bora bado alikua anaruka ruka tu.

Kuna Ekitike na Gyokeres unachukua yupi? au kuna Isak mzima msimu mzima na Gyokeres unachukua yupi?
Nimependa hapo ulipo sema isack mzima. 😀

Labda ungeweka haaland sio hao unaowataja hapo
 
Nachojua Pedro amelipita roboti lako magoli, tena kwenye timu iliyokua tia maji tia maji, wewe sasa ndio ukatae kwa ushahidi kuweka magoli yao.
Mimi ninachojua Gyokeres kawapita magoli wote hao niliowataja na alikua hagewi pasi anatafuta mipira mwenyewe. Wewe unayedai hilo ni roboti sasa uende ukaangalie magoli
 
Kweli ukiwa timu ndogo ni balaa.

Ipswich ananyanyaswa kwa udogo wake.

Hizi advantages hata Arsenal tumezipata baadhi ya mechi.
 
Kweli ukiwa timu ndogo ni balaa.

Ipswich ananyanyaswa kwa udogo wake.

Hizi advantages hata Arsenal tumezipata baadhi ya mechi.
EPL timu ya kunisumbua kuchukua kombe msimu huu ni arsenal tu
United Nina timu nzuri.

Chelsea beki yake mbovu haswa aerial duels
 
Ndio ni mechi ya pili usimalize kila kitu team tatu tu zinaubora Zaidi ya Spurs ni Chelsea, Arsenal na Man City. Angalia kiwango cha Liverpool na Man U hawapo kwenye level ya Spurs ndio maana nikaongea hivyo
Usichanganye confidence na evidence. Msimu una mechi 38, sio mbili. Ngoja Spurs wafike December kwanza bila kupotea kwenye top-half, ndipo turudi kwenye hii statement yako ya hawapo level ya Spurs.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…