Kuna mechi moja tulicheza hovyo tukapoteza.
Arteta akasema analiona hilo na wanalifanyia kazi ndani kwa ndani.
Wachezaji wakasema na wenyewe wameona wanavyokosea hivyo wamewekana chini kuambiana ukweli.
Hakuna mabadiliko ta chochote kile isipokua ni mwendelezo wa upuuzi ule ule