Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We jamaa akili kubwa
 
Ila Liverpool msimu huu sioni wakiwa na hatari sana kwenye mashambulizi km ilivo last seasons.

Japo mechi bado. Ngoja tuone 2nd half watakuja vipi.
Wakimchukua isak watabadilika …japo pia midfield yao naona imepwaya sa hiv
 
Mtazamo wangu atoke Merino aingie Eze
 
Ila Liverpool msimu huu sioni wakiwa na hatari sana kwenye mashambulizi km ilivo last seasons.

Japo mechi bado. Ngoja tuone 2nd half watakuja vipi.
Liverpool inabidi wavunje kibubu kumleta Isak. Nao kwa sasa pale mbele ni shida tu
 
Arsenal wanapata kona 6
Liverfool wanapata kona 0

Arteta afanya sub ya maana tumalize game hii
 
Baada ya kuingia Odegard na Eze tumeanza ile inaitwa saka mke wangu au unatoa hutoi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…