Tulia wewe tuwaonesheYaani nyie makondoo kila msimu lazima hii njia muipitie, alishasifiwa Jesus, Zechenko, Patei,akaja mchele, kabla msimu haujaanza amesifiwa Gyokere weeee
Huyo Gyokere mechi ya kwanza tu Mimavi mitupu. now mpo kwa Eze, mwisho wa msimu mnatoka kama kijibwa kilichokunjia mkia kwa ndani.
Bwabwaja uwezavyo...siku tukikutana muwe kamili aisee....ni aibu msimu wa 50 huu Kila tukikutana tunawadunda😀😀Yaani nyie makondoo kila msimu lazima hii njia muipitie, alishasifiwa Jesus, Zechenko, Patei,akaja mchele, kabla msimu haujaanza amesifiwa Gyokere weeee
Huyo Gyokere mechi ya kwanza tu Mimavi mitupu. now mpo kwa Eze, mwisho wa msimu mnatoka kama kijibwa kilichokunjia mkia kwa ndani.
Namuangalia Cherki hapa wa Man City....aisee hyu mjinga asipobadilika hii ligi ataona ngumu....mambo ya matobo na kanzu ayaache kule Ufaransa....huku Uingereza ni kata funua piga mbele....ubishoo hakuna huku
Ana mwili mkubwa anaonekana kama kibonge, pia nadhani apokelee pasi wide maana ana skills na mzuri 1v1 anavyopokelea mali na kucheza karibu na boksi naona kama anajicheleweshaNamuangalia Cherki hapa wa Man City....aisee hyu mjinga asipobadilika hii ligi ataona ngumu....mambo ya matobo na kanzu ayaache kule Ufaransa....huku Uingereza ni kata funua piga mbele....ubishoo hakuna huku
Mashabiki wa middle team mna kelele.Wazee wa nafasi ya pili mnaendeaje
Tupo pale.Leads apigwe 5 kavu
Natamani sana huyo dogo apewe dakika game ya leo:Max Dowman is with the Arsenal first team squad for the game
Huyu jamaa amemtesa sana Klopp acha na yeye ateseke.Sema mwamba anapitia mateso makali sana mpaka suruali zake siku hizi hazimtoshi tena, ukiangalia vizuri mkanda wa Guardiola utaelewa namaanisha nini.
Kipara anaingia mpaka na rozari uwanjani lakini bado watu hata hawamuonei huruma wanamtia makonzi palepale utosini. View attachment 3450233
FinallyArsenal have completed the signing of England forward Eberechi Eze from Crystal Palace.
Huyu nampiga 5 tena safari hiiSema mwamba anapitia mateso makali sana mpaka suruali zake siku hizi hazimtoshi tena, ukiangalia vizuri mkanda wa Guardiola utaelewa namaanisha nini.
Kipara anaingia mpaka na rozari uwanjani lakini bado watu hata hawamuonei huruma wanamtia makonzi tu ya utosi. View attachment 3450233
tukande kwanza, ndio apewe nafasiNatamani sana huyo dogo apewe dakika game ya leo:
Game haina pressure
Tupo nyumbani
Leeds ni more than underdog to us
Base on those facts, Max hii game anaimudu