Alihitajika sana msimuu huu, msimu ujao ndio aonyeshwe milango,hapa anaanza upya tena. Kama alivyoanza upya kwa kumuuza Xhaka. kiwigi hawezi kubeba chochote ujuaji mwingi.Kuna namna ukiiangalia mid yetu na kama unaona nafasi ya partey.hata tungemshikilia msimu huu ila ilikuwa ni suala la muda tu kuachana nae.
Umri na mahitaji ya timu kuna muda tu ilipaswa tuachane nae,
But three points do matter. Kipindi cha wenger tulikuwa tunaposes kama man u lakini points hatupatiUnataka kubeba ubingwa
Gyokrres poor
Saka poor
Martinelli Poor
Odegaard poorest
😂😂😂😂😂
Kwanza ilo shambuliaji lao jipya wamepigwa za usoMliona nini kwa Madueke hivi nyie mna akili kweli??
Lakini mkuu tukiacha ushabiki pembeni, Mbeumo na Cunha ni proven EPL player. Na leo wametuonyesha na kututhibitishia hilo.. Kama mtu utakuwa una wasiwasi na mbeumo au Cunha basi unahitaji kuwa na wasiwasi zaidi kwa Victor Gyokeres.Mechi ya tatu tunakuja pale kwenu....tuone mtatufunga kwa kupitia wapi kuku nyny😀😀....tutaotewa na kina Aston villa huko sio hawa traditional big six...Leo ndo ilikuwa siku ya kufungwa lakini wapi...Mbeumo ni Mbeumo tu....Cunha a.k.a Kunya ni walewale tu
But three points do matter. Kipindi cha wenger tulikuwa tunaposes kama man u lakini points hatu
asa izo three point zitakupeleka wapi zaidi ya kugombea top fourBut three points do matter. Kipindi cha wenger tulikuwa tunaposes kama man u lakini points hatupati
Zitatushusha daraja kakaasa izo three point zitakupeleka wapi zaidi ya kugombea top four
We hazi yako ni top four tu na usipokua makini na hizi game sita za mwazo watu wanakuondoa kwenye reli mapema sanaZitatushusha daraja kaka
Unataka kubishana? Unataka banter ? Au una muda wa kuchezea kutype?We hazi yako ni top four tu na usipokua makini na hizi game sita za mwazo watu wanakuondoa kwenye reli mapema sana
Hamna mtu anayetaka kubishana na wewe ila unaambiwa ukweli ili usiwe na matalajio makubwaUnataka kubishana? Unataka banter ? Au una muda wa kuchezea kutype?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwamba zee la top four limepigwaSporting hawapokei simu huko nasikia.
Sina mategemeo yoyote ndiyo maana sijaongelea ubingwa. Nilichoongelea ni kuchukua point 3, kwenye game ngumu kama ya leo.Hamna mtu anayetaka kubishana na wewe ila unaambiwa ukweli ili usiwe na matalajio makubwa
Basi hongeraSina mategemeo yoyote ndiyo maana sijaongelea ubingwa. Nilichoongelea ni kuchukua point 3, kwenye game ngumu kama ya leo.
Sasa sijui nimekosea wapi kujipongeza kwa ushindi huu wa leo.
Na huo ukweli wako ni utabiri tu kwani ndiyo kwanza tumeanza ligi.
Hongera pia kwa kucheza soka safi.Basi hongera
Ni kama ujinga wa Arisenyo huwa wanafurahi kumfunga United ila ligi ikiwa inatamatika hawana cha maana walichobeba zaidi ya kuwa top fourMan u ni wajinga
Wamefungwa ila wanasema wamecheza vizuri
Hapo ni sawa na kuwa na mke anakata sana viuno ila hazai
Ni kweli leo walikuwa na makali sanaLakini mkuu tukiacha ushabiki pembeni, Mbeumo na Cunha ni proven EPL player. Na leo wametuonyesha na kututhibitishia hilo.. Kama mtu utakuwa una wasiwasi na mbeumo au Cunha basi unahitaji kuwa na wasiwasi zaidi kwa Victor Gyokeres.
Usioneshe ujinga wako hapaNi kama ujinga wa Arisenyo huwa wanafurahi kumfunga United ila ligi ikiwa inatamatika hawana cha maana walichobeba zaidi ya kuwa top four