Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Nasikia Kepa naye hatakawia sana. Chaap kwa haraka atakuwa ameingia Emirates Stadium kijiunga na wafalme wa London.
 
Partey vipi tena...??
Naona kama yeye na Arsenal wanashindwana kwenye suala la maslahi. Naskia anataka ongezeko la mshahara pamoja na mkataba wa miaka 3 maana anaona ndiyo mkataba wake mkubwa wa mwisho na anabidi aangalie familia yake. Arsenal wanataka kumlipa chini ya 200.000/- kwa wiki ambayo inasemekana ndiyo kiwango anachochukua kwa sasa, huku pia hawako tayari kumuongezea zaidi ya miaka miwili kwa sababu ya umri wake na historia yake ya kuwa na majeraha ya mara kwa maea.
 
Mashabiki wa liver wakiiona hii watapata makasiriko kishenzi
 
🗣️Jurrien Timber thinks #Arsenal are going to sign lots of players this summer: “It will definitely be a busy one for Arsenal. I think we’ll get a lot of players, because we had so many injuries last season. At one point, we almost had no players left. So, they definitely want to get players for the depth.” 🙏
 
Arsenal inahitaji usajiri wa watu wa kazi sio chini ya watano

Clinical finisher or goal machine

Right Wing (upande wa zake kumsaidia au kumchallange)

Left wing (tulipo fikia hatuhitaji kuwategemea martinel na Trosad)

Versatile midfielder (zubimendi)

Central back

Nashangaa kuona Arteta yupo busy na kushika matako
Arteta na berta wanatuchukuliaje?
 
🚨 OFFICIAL Michezo sita ya Arsenal msimu 2025-26

🔴 ARSENAL FC

Man United ⚔️ Arsenal

Arsenal FC ⚔️ Leeds United.

Liverpool FC ⚔️ Arsenal FC

Arsenal FC ⚔️ Nottingham Forest

Arsenal FC ⚔️ Manchester City

Newcastle United ⚔️ Arsenal FC


Ukiachana na game ya kwanza(uhakika 6 Home and away), zingine zote hizo za moto sana
Bila usajiri wa kueleweka mwaka huu mateso na manyanyaso yataanza mapema sana
 

Ule upuuzi wa marefa kama nauona unavyoenda kujirudi.
 

Arsenal wake mezani na huyu mwamba, bado tunamuhitaji kwa misimu miwili
Huyu n mtu sana
 
Duuh. Sasa na Myles Lewis-Skelly na Gabriel wameongezewa mikataba. Saliba nae anafuata. Na tumechukua hiki chuma...

Sasa hawa wasiojua hawa akina Vitz sijui Mosala, Jaksoni na wazembe wengine kama akina Kolpama watakuwa wanapita wapi? Ni wazi kabisa marefa watahusika kuwasaidia maadaui watufunge, ila kimpira hakuna kima yeyote atakayeingia kwenye 18 yetu au hata kuzagaa zagaa maeneo ya karibu yake.
 
Kiungo na ukuta huko hakuna shida kabisa, tena naona cleansheets zitakua zakutosha
Nyumbu, kenge etc watakula kipigo cha mbwa, points 6 with cleansheets
 
Clinical finisher
Rw
Lw

Hapo arteta na beta watulize akili, watuletee watu wa kazi
 
Huyu dogo fabio anakitu kikubwa sana, ni aina ya midfielder kwenye pass 10, mbili tu ndio back pass
Shida ni kuwa mahitaji ya epl ni makubwa zaidi. Sijajua kama atakua matured enough

 
Kiungo na ukuta huko hakuna shida kabisa, tena naona cleansheets zitakua zakutosha
Nyumbu, kenge etc watakula kipigo cha mbwa, points 6 with cleansheets
Kidura kinaendelea, muda wa usajili tambo kibaaaooo, msimu uanze muanze kusifia overload na download, mwisho wa msimu holaaa. Mnarudi tena kwnye usajili tambo kama hizi😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…