Afadhali kuliko Yule kipa namba mbili wetuView attachment 3376951
Nasikia Kepa naye hatakawia sana. Chaap kwa haraka atakuwa ameingia Emirates Stadium kijiunga na wafalme wa London.
Naona kama yeye na Arsenal wanashindwana kwenye suala la maslahi. Naskia anataka ongezeko la mshahara pamoja na mkataba wa miaka 3 maana anaona ndiyo mkataba wake mkubwa wa mwisho na anabidi aangalie familia yake. Arsenal wanataka kumlipa chini ya 200.000/- kwa wiki ambayo inasemekana ndiyo kiwango anachochukua kwa sasa, huku pia hawako tayari kumuongezea zaidi ya miaka miwili kwa sababu ya umri wake na historia yake ya kuwa na majeraha ya mara kwa maea.Partey vipi tena...??
Mashabiki wa liver wakiiona hii watapata makasiriko kishenziZubimendi lands in London ahead of £51m Arsenal move under Arteta
Martin Zubimendi has reportedly touched down in London as he edges closer to sealing a summer switch to Arsenal.
According to The Athletic, the Real Sociedad midfielder is on the verge of completing his move to the Emirates, with the player set to meet club officials and finalise the remaining formalities.
David Raya yuko Bongo yaani ni anaenjoy tu.
View: https://www.tiktok.com/@arsenal87075/video/7517752199162711302?_r=1&_t=ZM-8xMpDRhbvtQ
View attachment 3377061
🚨 OFFICIAL Michezo sita ya Arsenal msimu 2025-26
🔴 ARSENAL FC
Man United ⚔️ Arsenal
Arsenal FC ⚔️ Leeds United.
Liverpool FC ⚔️ Arsenal FC
Arsenal FC ⚔️ Nottingham Forest
Arsenal FC ⚔️ Manchester City
Newcastle United ⚔️ Arsenal FC
Ukiachana na game ya kwanza(uhakika 6 Home and away), zingine zote hizo za moto sana
Bila usajiri wa kueleweka mwaka huu mateso na manyanyaso yataanza mapema sana
Duuh. Sasa na Myles Lewis-Skelly na Gabriel wameongezewa mikataba. Saliba nae anafuata. Na tumechukua hiki chuma...
Kiungo na ukuta huko hakuna shida kabisa, tena naona cleansheets zitakua zakutoshaDuuh. Sasa na Myles Lewis-Skelly na Gabriel wameongezewa mikataba. Saliba nae anafuata. Na tumechukua hiki chuma...
Sasa hawa wasiojua hawa akina Vitz sijui Mosala, Jaksoni na wazembe wengine kama akina Kolpama watakuwa wanapita wapi? Ni wazi kabisa marefa watahusika kuwasaidia maadaui watufunge, ila kimpira hakuna kima yeyote atakayeingia kwenye 18 yetu au hata kuzagaa zagaa maeneo ya karibu yake.
Kidura kinaendelea, muda wa usajili tambo kibaaaooo, msimu uanze muanze kusifia overload na download, mwisho wa msimu holaaa. Mnarudi tena kwnye usajili tambo kama hizi😂😂😂Kiungo na ukuta huko hakuna shida kabisa, tena naona cleansheets zitakua zakutosha
Nyumbu, kenge etc watakula kipigo cha mbwa, points 6 with cleansheets
Mwamba yuko kwenye honeymoon yake. Tumuache aenjoy mazingira nchi yetu na wife wake kwanza.Nendeni mkamsalimie