Halafu pia angalia timu ya wanawake ya Newcastle iko daraja la ngapi, na nafasi ya ngapi katika daraja hilo...Castr point yangu si nyinyi kucheza uefa ila ni uhakika kuwa mmeamua kukimbilia kwenye league ya mademu kujiliwaza ambapo mpaka huko nako mwaka huu mnatoka empty si league wla uefa women champions league
Ma false hopers bana, yaani ww una hesabu pasi badala ya makombe.Hivi mnajua goli la Nwaneri dhidi ya man city zilipigwa pasi 36 mpaka goli likafungwa
We una miaka mingapi hujachukua epl ?Ma false hopers bana, yaani ww una hesabu pasi badala ya makombe.
Hivi unajua arsenal ina miaka 22 haijawahi kuchukua epl.
Tuuzieni Isak mkuuπ€ π€ π€ ....naona kijana kagoma kusaini mkataba mpya....anaona pale anapoteza mda.....kujitutumua kote na mwaka huu tena anaambulia Carling....no uefa qualificationsMa false hopers bana, yaani ww una hesabu pasi badala ya makombe.
Hivi unajua arsenal ina miaka 22 haijawahi kuchukua epl.
Uefa mbona tumo, dogo atulie pale st james abebe makombeπ, arsenal hatuwezi kuwauzia mashine kama ile hilo hapana na haliwezekani bora tuwape barca lakini sio false hopers.Tuuzieni Isak mkuuπ€ π€ π€ ....naona kijana kagoma kusaini mkataba mpya....anaona pale anapoteza mda.....kujitutumua kote na mwaka huu tena anaambulia Carling....no uefa qualifications
Unaweza ukabahatika kumfunga Lyon, ila unajua udhalilishaji unaoenda kuupata fainali? au mnajisahaulisha manaenda kukutana na nani? Nyie Arse88 mmeumbiwa kuteseka hamna namna mnaweza kupata furaha! Sio kwa wanaume sio kwa wanawake.Hua naona ugumu kukujibu kitu kwakua una tabia ya kuhamisha magoli, haujui unachotetea, you tend to be all over the place with quotes ambazo hazimake sense.
Arsenal Women anamface Lyon. Lyon ni Real Madrid ya female football, but Arsenal kashamfunga Lyon 5 - 1, Arsenal ishachukua UEFA, ikichukua na hii inakua kombe la pili.
Nini kinafanya uhisi Lyon atatoka kwa Arsenal?
Unajua kama Arsenal Women ni English team pekee iliyochukua hilo kombe?Unaweza ukabahatika kumfunga Lyon, ila unajua udhalilishaji unaoenda kuupata fainali? au mnajisahaulisha manaenda kukutana na nani? Nyie Arse88 mmeumbiwa kuteseka hamna namna mnaweza kupata furaha! Sio kwa wanaume sio kwa wanawake.
Mbona msimu huu ndio mwisho wa hicho kirecord uchwara!.Unajua kama Arsenal Women ni English team pekee iliyochukua hilo kombe?
Ngoja tuoneMbona msimu huu ndio mwisho wa hicho kirecord uchwara!.
Nimecheka sana πMbona msimu huu ndio mwisho wa hicho kirecord uchwara!.
wachezaj wamegundua kocha wao ni tetea kiparaNimecheka sana π
View attachment 3286485
Mkuu kuwa na heshima basi , yaan dogo anabeba makombe huku Newcastle tabasamu kibao then aje kubeba saa hapo false hopuni ππ.Zubimendi + Rice alafu tumpate no.10 mkali zaidi ya Γ na tumsajili Isak, hivi unaachaje kuangalia mechi ya Arsenal msela wangu!