Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daah. Mimi kombe moja tangu 2021 na wewe kombe moja tangu 1955...tunafanana kweli? Au basi tusaidie kutuambia ndani ya miaka 10 (tangu 2014) tu hapo, nyie na sisi tunavikombe vingapi hivyo domestic? Usihesabu Community Shields.
 
Hivi hapa kina henry, mkorea, castr, arsenal 2004 na wengine kina will jr hivi hapa mlikua mnashangilia nini 😂😂😂😂 , tukisema mnasema tunawaonea
Mbona hii imekaa kama tulikuwa tumeshika community shield baada ya kumchapa Man C115y lakini wenye wivu na chuki wame edit na kuweka ile saa yetu ?


😀 😀 😀
 
Daah. Mimi kombe moja tangu 2021 na wewe kombe moja tangu 1955...tunafanana kweli? Au basi tusaidie kutuambia ndani ya miaka 10 (tangu 2014) tu hapo, nyie na sisi tunavikombe vingapi hivyo domestic? Usihesabu Community Shields.
2014 huko mimi nilikua false hoper kama wewe tuanzia miaka 3 nyuma 😀 ,
 
Mbona hii imekaa kama tulikuwa tumeshika community shield baada ya kumchapa Man C115y lakini wenye wivu na chuki wame edit na kuweka ile saa yetu ?


😀 😀 😀
Hii si edit hii ilikua after game ya Bournemouth au man utd 😂😂😂😂 muda mwingine asenali yaani mnabeba saa meno yote nje je mkichukua carabao kama sisi
 
Hii si edit hii ilikua after game ya Bournemouth au man utd 😂😂😂😂 muda mwingine asenali yaani mnabeba saa meno yote nje je mkichukua carabao kama sisi
😀😀😀 daaah basi sikuona hii. Itakuwa ni tukio lililotupa furaha sana mizuka ikapanda tukaona saa tukaifananisha na community shield. Ila yote kwa yote, furaha ni muhimu, na muda si mrefu hapa tunanyanyua makombe.
 
2014 huko mimi nilikua false hoper kama wewe tuanzia miaka 3 nyuma 😀 ,
Kwa hiyo tusianzie hata 2020 tulipobeba FA Cup? Hutaki makombe yoyote ya Arsenal, unataka yale ya Newcastle tu? Je tuanze kuhesabu kuanzia sasa kwenda mbele tuone nani atabeba makombe mengi miaka 10 ijayo?
 
Usikasirike nigga kwakua chelsea hakuna aliyeitwa. Ni update za kinachoendelea international break, ndiyo maana kuna ripoti ya majeruhi pia.
Haya sio maneno yangu bali ni nukuu tu kutoka kwa Farhan jr

"Nachowapendea Vijana wa Arsenal wakipata nafasi ya kupiga picha na Mchezaji ambaye kashinda UEFA Champions League, kashinda UEFA Supercup na Club World Cup huwa hawaichezei hiyo nafasi, nafasi kama hizi huja mara chache sana, kupata nafasi kupiga picha na Captain wa Chelsea sio kitu cha kuchukulia poa, angalau wanaonekana wa maana, sasa msimkabe hivyo CAPTAIN wetu, pangeni mstari mpate picha

Chelsea ndio Klabu pekee London yenye hayo Mataji, sio tu Klabu bali ni Makumbusho ya soka pale London."
 
Hii si edit hii ilikua after game ya Bournemouth au man utd
muda mwingine asenali yaani mnabeba saa meno yote nje je mkichukua carabao kama sisi
Halafu aliewabebesha hio saa alikua anajua kabisa hawa jamaa ni 2 kasoro.
Kama anadai hio ni editing mwambie aweke humu orginal yake.

Kuna kombe lao lingine tena hili hapa, Tetea kakusanya body yote ya timu mpaka kamati ya wazee, wanafurahia meno yote nje kama vile wamebeba Uefa.
Hapa mimi ndio hua naamini ukijihusisha na hii timu kwa namna yoyote ile lazima tu utajikuta kuna baadhi ya nyaya hazipo sawa.
 
Wanawake wetu washawatoa wanawake wa Madrid huko. Semi final itakuwa na Lyon ambao nakumbuka walikuwa maarufu kwa kupiga ball hatari. Kila la heri kwa Arsenal, tufike fainali.

Kazi ipo kwa timu ya wanaume pia sasa.
 
Wanawake wetu washawatoa wanawake wa Madrid huko. Semi final itakuwa na Lyon ambao nakumbuka walikuwa maarufu kwa kupiga ball hatari. Kila la heri kwa Arsenal, tufike fainali.

Kazi ipo kwa timu ya wanaume pia sasa.
Waooooh!!!!Tumechomoa zile mbili!!!!

Si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…