Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Toa neno UEFA hapo tafadhali kaka , kuwa na heshima na UEFA hio false hope sijui ya uefa cup winners hii hatuitambui kabisa na sisi mimi tu hata hao UEFA hawaitambui.
Ndio maana kwenye list ya uefa champion winner arsenal haipo ila wanangu wa unai emery Aston villa wapo .
 
We jamaa una spana za moto.
Acha tuwapige spana hawa ma false hopers, 2023 walivyokosa wakasema ni pressure ya wachezaji kutokua na uzoefu wa kupambania ubingwa, 2024 wakasema tatizo ni pep 😂😂 akiondoka tu watatawala sana epl kwa zaidi ya miaka 10.
2025 hii hapa pep yupo hoi hawana cha kutuambia zaidi ya next season .
NEXT SEASON FC
 


Waswahili wanakamsemo kao, 'hizo siyo shida zetu' . Hilo kombe ndiyo limeunganika na UEFA Cup ama Europa.
Mahindano yalikiwepo misimu mingi. Tulishiriki. Tulishinda. Parade tulifanya. Historia na ukweli haubadiliki. Kama wewe unafurahi kwa kushinda Carabao, kikombe kidogo Uingereza, sembuse mimi niliyebeba kikombe kidogo Ulaya...

Na huu ni mwanzo tu (miaka 30 hiyo 😀 ) mengine yatakuja tu.

Waswahili pia wanasema 'One day yes.
 
Sema mkuu we mtu poa sana, sijawahi kukuona ukitoa comment negative na kukimbilia kwenye personal attacks yaani ni mzee wa kuchukulia mambo kawaida nakufananisha na Captain Marvelous kule jukwaa letu la liverpool.
 
Game ya jana ambayo Italy alifungwa na Germany Calafiori alitoka huku anachechemea.
 
kimasihara mtampigia livakuku gwaride la heshima 🤣
Hio mbona tayari, tunasubiri kuona tu kwa macho ila ki uhalisia tayari liverpool bingwa tena mapema as long as arsenal ndo anamkimbiza liver.
Jikumbushe kwa Leicester alivyochukua ubingwa, tena si makofi tu hata iwo nafasi ya pili tunaitaka arsenal atupishe hapo
 
Mbona kama muda umeenda sana mkuu HENRY14 maana hata wachezaji walivaa jersey zisizo na majina
 
Usikasirike nigga kwakua chelsea hakuna aliyeitwa. Ni update za kinachoendelea international break, ndiyo maana kuna ripoti ya majeruhi pia.
Unauhakika chelsea hakuna aliyeitwa? Hivyo vya kushabikia mchezaji aliyeitwa mnavyo nyie misukule ya arteta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…