Mjinga wewe, ngoja nikuwekee clip hapa uone mkono ulivyozuia mpira. Ushabiki usikutoe fahamu.... pambaf sana.Waswahili watasema tuna mikosi.
Yaani VAR wameangalia ule mpira umemgonga Havertz tumboni na wakasema handball kweli? Mimi naendelea kusema ukweli ninaohisi kuwa officials wako dhidi yetu kuliko wengine.
"Huu mwaka umeisha. Mwakani bila sajili za kueleweka tunarudi pale pale."Ni kweli hata mimi nilikua sehemu nimepoa nakula popcorn sina wasi. Siku hizi naona sina presha kama zamani kwa sababu si expect much from this team.
Huu mwaka umeisha. Mwakani bila sajili za kueleweka tunarudi pale pale.
Bado hamjasema, hata nafasi ya nne mtaisikia kwenye bomba msimu huu.Leo hii akiumia Saliba, Odegaard, Saka au Gabriel timu inasuasua na matokeo?
Sasa timu gani asiumie mtu. Maana ya timu ni nini?
SawaaBado hamjasema, hata nafasi ya nne mtaisikia kwenye bomba msimu huu.
Mbona kuna options ya kuzima chatsInaboa walivyowezesha chat
Timu nzima maumbwa tu hayo.Havertz bahati aliyonayo ni kuzaliwa ulaya tu lakini kiuwezo ni very mediocre.. Ni vile hivi vigoli vyake vya bahati kuna watu vinawaongopea wakiamini ana kitu lakini hakuna lolote mule.. Kwa timu yoyote inayotambua ugumu wa EPL mchezaji kana Havertz sio sehemu yake sahihi. Ni viburi tu vya makocha wa Kihispania kusimamia wanachoamini lakini kwa hili la Havertz tunaongopeana tu..
Leta clipMjinga wewe, ngoja nikuwekee clip hapa uone mkono ulivyozuia mpira. Ushabiki usikutoe fahamu.... pambaf sana.
Leta clip
Mimi nilijua kuwa alishastaafu mpira zamani sana. Yani asenyeto ni timu la kutupiwa takataka zilizoshindikana kwenye team nyingine kama hao kina Odegaard, Jesus, Havertz, Sterling, Timber n.kNi maajabu haya, Raheem ni miaka mingi imepita toka aondoke liver nashangaa leo kumkuta arsenal nilitegemea awe IPSWICH huko na sio timu kubwa kama arsenal
Si hadi ujiunge premium? Am siyo hivyo?Mbona kuna options ya kuzima chats
Naelewa kwa nini kila mtu anasema hivyo kwa sababu inaonekana kama ni hivyo ila ukweli ni ilikuwa tumbo. Hata ile replay ya mwisho waliyorudia ilionyesha kuwa siyo handball na commentator akasema hivyo. Ila tayari VAR walikuwa wameshakataa goli. Mimi niliona siyo handball tangu mwanzo kabisa. Ila ndiyo hivyo imeshatokea.Ina maana ukuona mkono ulivyobadili uelekeo wa ule mpira au ubishi tu?
Hili goli ambalo mpira uliufuata mkono wa Kai haina hata haja ya kusumbuana. Mechi imeshaisha hata kama ikaonekana ni kweli zaidi ya kugewa barua ya kuombwa msamaha hakuna jipya.
Kilichotokea kimeendeleza ambacho tunakiona mara nyingi. Weka Partey RB observe unavyoshindwa kusecure points 3. Kipindi fulani hivi wakati liva ipo on fire inamiliki mpira mpaka 80% nikawa nasema kwamba tunateseka dhidi ya liva kwakua Arteta ana tabia kama ya Wenger.
Ilikua haijalishi anakutana na mpinzani gani Wenger alikua anataka acheze sexy football huku anascore. Arteta aliwahi kufanya defense iliyowahi semwa haifundishiki kua ya pili kutoruhusu magoli mengi. He did it with back 3.
Kama hatuna RB na inatusumbua hiyo ishu kwanini isichezwe back 3. Nimeona anasema kikosi ni kidogo na wanacheza kila baada ya siku 2. Ok sawa, nani ambaye hachezi kila baada ya siku 2?.
Ratiba hua inatoka ya mwaka mzima. Hakujua hili swala?