Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,078
- 7,422
Unajua wabongo wengi hatujui mpira, nilimsikia mchambuzi wa clouds fm anasema anashangaa Arsenal kuhusishwa na usajili wa Zubimendi sababu tayari eneo la kiungo mkabaji ,DM, kwamba Arsenal ina wachezaji wengi kama Partey, Jorginho na Declan Rice, kwa hiyo haoni umuhimu wa Zubimendi to Arsenal, alichoshindwa kuelewa ni kwamba
kwanza, Partey & Jorginho wapo kwenye kipindi cha mwisho wa mikataba yao
pili, Zubimendi is the latest and better version of Jorginho
Tatu, profiles za Zubimendi + Rice zinacompliment kutumika kwenye double pivot kitu ambacho kinachange the team's dynamics, the most creative player ambaye ni Saka anaweza kuingia interior na kutumika km no.10 na kutatua tatizo kubwa tulilonalo la creativity, yaani timu inakuwa haina tena RCM role bali RCM inakuwa converted to no.10 ambaye mostly anakuwa kwenye Zone 14 na system inachange from 433 to 4231.
kwanza, Partey & Jorginho wapo kwenye kipindi cha mwisho wa mikataba yao
pili, Zubimendi is the latest and better version of Jorginho
Tatu, profiles za Zubimendi + Rice zinacompliment kutumika kwenye double pivot kitu ambacho kinachange the team's dynamics, the most creative player ambaye ni Saka anaweza kuingia interior na kutumika km no.10 na kutatua tatizo kubwa tulilonalo la creativity, yaani timu inakuwa haina tena RCM role bali RCM inakuwa converted to no.10 ambaye mostly anakuwa kwenye Zone 14 na system inachange from 433 to 4231.