View attachment 3203598
Hawa kina Havertz na Odegaard wanavyo zingua kukosa magoli ya wazi wakati wako Emirates, uwanja bora kabisa duniani, wanaudhi sana.
Cheki huu uwanja wetu hali yake leo. Na hii ni hali ya kawaida. Uwanja una mabonde, nyasi zinawasha, siafu wametanda kote, ila hatukosi magoli hovyo. Na mpira ukiingia kichakani unachukua mkuki kuufuata ili simba au mbogo akikuzingua unadeal naye huko huko ndiyo urudi na mpira. Kichaka chenyewe asilimia 90 ni miwashawasha (stinging nettle) hivyo unavaa koti kwanza ndiyo unazama ndani.
Lakini hatukosi magoli kizembe kama hawa kina Havertz.