HapanaHivi arse8 aliwahi kushinda kombe lolote la Ulaya?
HapanaHivi arse8 aliwahi kushinda kombe lolote la Ulaya?
Au unaambiwa 'Mpige kibao'Vitu vyangu hivi mkongwe. Hiyo ukiipiga uwanjani unasikia mashabiki wanasema, muache hapo hapo. 😂🤣
Wapi mkuu, nije nicheze walau mara moja tu.View attachment 3203598
Hawa kina Havertz na Odegaard wanavyo zingua kukosa magoli ya wazi wakati wako Emirates, uwanja bora kabisa duniani, wanaudhi sana.
Cheki huu uwanja wetu hali yake leo. Na hii ni hali ya kawaida. Uwanja una mabonde, nyasi zinawasha, siafu wametanda kote, ila hatukosi magoli hovyo. Na mpira ukiingia kichakani unachukua mkuki kuufuata ili simba au mbogo akikuzingua unadeal naye huko huko ndiyo urudi na mpira. Kichaka chenyewe asilimia 90 ni miwashawasha (stinging nettle) hivyo unavaa koti kwanza ndiyo unazama ndani.
Lakini hatukosi magoli kizembe kama hawa kina Havertz.
Eehh, "mpige na kibao" mtaani raha sana.Au unaambiwa 'Mpige kibao'
Hii Ngorongoro mkuuWapi mkuu, nije nicheze walau mara moja tu.
Mimi nilikua beki, kipindi hicho Emmanuel Eboue alikua ndiyo anakiwasha Arsenal. Jamaa nikawa napenda anavyocheza akaniinfluence kufocus na skills kuliko nguvu.Eehh, "mpige na kibao" mtaani raha sana.
Zamani tulikuwa tunacheza soka bichi, mtu akipigwa kitu kizito tunaweza kuacha mpira tunaenda kujitosa baharini kwanza. 😂🤣
Unataka apigwe mikuki😅Hii Ngorongoro mkuu
Si haba tutakuja tucheze veterans then uchome nyama choma pori.Hii Ngorongoro mkuu
Hatakutana na shida hiyo mkuu. Labda baridi na hewa nyepesi ndivyo vitavyomsumbua.Unataka apigwe mikuki😅
Kama wanataka tumnunue watufanyie bei chee.Kuna unconfirmed reports kwamba Leipzig wanataka ama tumnunue Sesko moja kwa moja au loan iwe na kipengele cha lazima kumnunua.
Arsenal inataka loan pekee.
Dah, Insha'allah nitakuja kucheza siku moja.Hii Ngorongoro mkuu
Amina mkuuDah, Insha'allah nitakuja kucheza siku moja.
Eboue, kitasa kimoja cha hatari sana, tulibahatika na Lauren etame mayer, kisha akaja Eboue.Mimi nilikua beki, kipindi hicho Emmanuel Eboue alikua ndiyo anakiwasha Arsenal. Jamaa nikawa napenda anavyocheza akaniinfluence kufocus na skills kuliko nguvu.
Kwahiyo mtu alikua akija vibaya nampiga body feints na ile chenga maarufu ya Zidane naipiga vizuri tu. Nilivyoanza chuo tu nikaanza ubishoo na mpira ukaishia hapo kuucheza
Mimi nilikua beki, kipindi hicho Emmanuel Eboue alikua ndiyo anakiwasha Arsenal. Jamaa nikawa napenda anavyocheza akaniinfluence kufocus na skills kuliko nguvu.
Kwahiyo mtu alikua akija vibaya nampiga body feints na ile chenga maarufu ya Zidane naipiga vizuri tu. Nilivyoanza chuo tu nikaanza ubishoo na mpira ukaishia hapo kuucheza
Tunajichelewesha ama kuna chaguo jingine tofaut na Sesko Summer??Kuna unconfirmed reports kwamba Leipzig wanataka ama tumnunue Sesko moja kwa moja au loan iwe na kipengele cha lazima kumnunua.
Arsenal inataka loan pekee.
Pia nilidhani Sesko atataka kwenda Unyumbuni kwa Amorim...?Kuna unconfirmed reports kwamba Leipzig wanataka ama tumnunue Sesko moja kwa moja au loan iwe na kipengele cha lazima kumnunua.
Arsenal inataka loan pekee.
Nilijichanganya siku moja nikavaa six nikaingia.Safi sana mkuu. Mimi niliacha kucheza mpira seriously nikiwa form 3. Muda wa mazoezi nikawa napendelea kuwa studio nikichora. Sasa nacheza kwa afya tu, na vijana wananipelekesha mbio balaa.
Ila mpirani nilikuwa ka Marc Overmars flani, au ka Martinelli hivi kwa sasa.