Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu wanakutana na Wolves huku Wolves wapo kwenye patch ya new manager bounce.

Na leo kipigo
 
Sasa hivi city kuwapa namba academy wengi wameacha coz hawapo sure na ushindi
 
Dah ! Kenge leo tumekula kipondo ,aisee Merry Christmas Arsenyetoz wote duniani , naona mganga wenu anafanya vizuri , mnaroga sana sikuhizi mpaka , Ila kombe hambebi ,mtabeba karai la zege mwisho wa msimu
🤣🤣🤣🤣🤣Castr na genge lako
Sasa hivi city kuwapa namba academy wengi wameacha coz hawapo sure na ushindi
 
Leo mmenasa 😂
 
Kuna timu mbili ambazo kama zikishinda inakua advantage kwa Arsenal basi ni lazima zitafungwa.

Spurs na Brentford.
 
Kuna timu mbili ambazo kama zikishinda inakua advantage kwa Arsenal basi ni lazima zitafungwa.

Spurs na Brentford.

Hawa Brentford ni wadogo zetu/watoto wetu. Walikuwa ndani ya community projects za Arsenal na tumefanya mambo kadhaa kuwasaidia mpaka wakafika hapo walipo. Hawawezi kuwa wabatufanyia makusudi. Ila Spurs...
 
Huyu liva haaminiki
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
 
Ni m
Ni suala la muda!
kocha mpya bado wapinzani hawajamsoma tactics zake.
Next round watakuwa na wakati mgumu.
Binafsi naamini liver ya klop ilikuwa inatisha kuliko hii ya kipara pesa.
They are very electric and focused huku hawana majeruhi. Ni mapema kuwaona hawastahili kuwepo walipo.

Ruben ni kocha mpya ila anagalagazwa hapa mwanzo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…