Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kosi la leo liko bomba.
Tutulie tuone pira kali asee acheni lawama hizo kocha na benchi wanajua wanachofanya msisahau wanalipwa kwa ajili hio, mnaleta mahaba kwenye kazi za watu.
 
Unaona sasa kocha wetu alichofanya?

Jesus amescore hat trick ni ngumu kumuacha so kamuanzisha. But nafsi inamuuma Kai kua nje so na Kai kaanza at the expense of what? Our mid.

Kamuweka Partey kati, Rice kala benchi

 
Rice alikuwa injured, kwa hiyo atapata game time fupi mwishoni. Kai is not that much bad, how many times he has given us important points?
 
Rice alikuwa injured, kwa hiyo atapata game time fupi mwishoni. Kai is not that much bad, how many times he has given us important points?
Ni kweli bro upo sahihi kwa upande wa Rice lakini tuna Mikel Merino mwenye Game time ya kutosha angeweza kucheza vizuri kuliko huyu Havertz... Havertz huwa anaonekana akicheza kule mbele akisubiri mipira inayozagaa, lakini kwenye upande wa playmaker hapana aisee.. Ni very slake na hata kwenye Skills sio Gifted kama wakina Ozil.. Anyway, huo ni mtazamo wangu kama shabiki. Pengine kuna kitu Arteta anaona mimi sikioni.
 
Genius wetu huyo babu.
 
Goli halikai tunapachikwa, hiii timu konyo sana maaaamaaaaaeeeeeeee..
 
Hawa wahuni juu wanapress mnoo, hapa ni arsenal beki zake na partey kutuliza akili, pasi inabidi ziwe za mbele zenye kupenya frontline yao, ukiangukia kwa kina Odegaard tu, wao wanakuwa nusu uchi.. Zaidi ya hivyo watatusumbua sana labda wakate moto ama wapoteze umakini kwenye mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…