Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Isak ni injury prone itatoka pesa nyingi na wage nene halafu maswala ya mechi 38 anacheza 10.

Zinchenko auzwe. Tierney kama atashindwa kustep up kama alivyofika auzwe, energy na njaa ya Calafiori ndiyo ilikua ya Tierney wakati anafika. Ni ngumu kumbakisha benchi Tierney kama akiwa kwenye ubora wake.

Sijawahi kumuelewa Rashford. Ila kama anakuja for free na wage siyo kama ya Kai aje apambanie namba.
 
The potters leo tutakuwa na kibarua zidi ya Fulham
View attachment 3171833
It's funny Arsenal tulishinda tukashangilia tukalaumiwa tunashangilia.

Tukascore kwa kona dhidi ya City Humble tukaletewa masharti jinsi ya kukaa mbele ya goli muda wa kona.

Tunampuga nyumbu tunalaumiwa kwanini tumempiga kwa kona. Hakuna anayewalaumu nyumbu kwa kushindwa kudefend kona.

Juzi wakati tunascore goli la pili mtafute jana Maguire alikua anafanya nini. Jana wanapigwa na Forest mtafute kijeba Martinez alikua anafanya nini.

Kwenye draft unamfunga mtu anakasirika anakuambia sasa hivi naanza mimi, unamfunga tena. Anakasirika anaanza kukulazimisha usicheze mbuzi kavimba kwakua hajui kuizuia.
 
Ukiangalia 'trend' ya ukuaji wa ufungaji wetu kwa kona, utaona si kwa bahati nzuri tu bali ni kuendana na mazingira tunayowekewa na wapinzani wetu.

Amorim alisema ''unaweza kuona jinsi Saka na Martinelli wakiwa 1v1, wataenda kwa nje. Wanajua wakiweza kupiga cross ikawa nzuri, wanaweza kupata goli. Ila cross isipoenda vizuri wakapata kona, wanaweza kupata goli pia...''

Hii kauli imenifanya nifikirie ni kwa nini tumeongeza nguvu kwenye kona. Wapinzani wanatubana sana kwenye ku cut in na kupiga. Kila mtu anajua ukiwaruhusu watu kama Saka, Trossard au Martinelli wa cut in kutoka kulia na kupiga shuti na mguu wa kushoto kwa Saka, au ku cut in na kupiga shuti kwa mguu wa kulia kwa Martinelli na Trossard, nini kitatokea. Namna nzuri ya kupambana na shida hiyo ni kuwaonyeshea 'weaker side' zao na kuwalazimisha wasi cut in. Matokeo yake ni cross inayoweza kumaliziwa na kutuletea goli, au inayo okolewa, au inayoweza kuzaa kona ambayo inaweza kuleta goli.

Unaweza kusema kuwa si kwa bahati tu kuwa tunapata kona nyingi hivi karibuni. Tumewashtukia wapinzani kwamba wametushtukizia kuwa tuki cut in tutaleta madhara, hivyo wako tayari kutupa kona kuliko kutuachia ku cut in. Sisi nasi tukabidi tuongeze juhudi na ufanisi katika kutumia hizi kona.
 
Arsenal wana weak mentality yaani wana red na wanatoka suluhu?

Stay humble jana wametoka suluhu pia na hakuna anayelalamika.
 
Me nawakumbusha kuwa msimu huu mkiwa tena kama netflix waiting for next season basi tutawacheka kwa vingi
 
Sisi hata tusipochukua kikombe,furaha yetu ni kuwagonga tu za kutosha. mtimue walimu hadi mpate akili
 
Leo ninyi kenge hamchomoki kwa Fulham watoto wajanja wa mjini london
Mnafinywa leo
 
Tunapambana na double pivot ya Fulham.

Wana pace ya Traore, skills za Emile na Iwobi so forward yao siyo ya kinyonge sana.

Washashiriki kutukosesha ubingwa pengine wana hamu kuprove hawakubahatisha so plan itakua same. Compact defense na kuitegemea pace ya Calafiori.

Trossard na Odegaard wakomae kufanya long range shooting, Leno ni shot stopper mzuri but hakuna ukuta unasurvive ukipelekewa constant attacks kila baada ya dakika 2.
 
Ile takataka ya arteta inayokimbia kama ina kinyesi matakoni hawezi mambo haya, angeweza kuzuia mali kisha kupiga pasi ya nyuma.
Namna tunacheza inamrahisishia kuscore. Tunatengeneza chances nyingi kiasi kwamba atamess up nne atapata moja na timu inashinda watu wanasahau makosa manne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…