K Kimbukiko JF-Expert Member Joined Apr 1, 2022 Posts 5,923 Reaction score 10,749 Nov 10, 2024 #158,981 Hili suala la kushinda leo futeni humo kwenye vichwa vyenu ninyi walevi ,false hopers FC
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,213 Reaction score 74,027 Nov 10, 2024 #158,982 Kimbukiko said: Hili suala la kushinda leo futeni humo kwenye vichwa vyenu ninyi walevi ,false hopers FC Click to expand... Nimecheka tu ulivyotuita walevi
Kimbukiko said: Hili suala la kushinda leo futeni humo kwenye vichwa vyenu ninyi walevi ,false hopers FC Click to expand... Nimecheka tu ulivyotuita walevi
K Kimbukiko JF-Expert Member Joined Apr 1, 2022 Posts 5,923 Reaction score 10,749 Nov 10, 2024 #158,983 Ila Arsenyetoz aisee ,yaani na vichwa vyenu vikubwa hivyo kama mitungi ya gesi mnakaa na kuota kwamba leo mnashinda mbele ya kings wa London , mmeshindwa kuwafunga Newcastle ,mje mtutambie sisi ? Kweli uchawi upo ,na aliyewaloga ameshakufa
Ila Arsenyetoz aisee ,yaani na vichwa vyenu vikubwa hivyo kama mitungi ya gesi mnakaa na kuota kwamba leo mnashinda mbele ya kings wa London , mmeshindwa kuwafunga Newcastle ,mje mtutambie sisi ? Kweli uchawi upo ,na aliyewaloga ameshakufa
K Kimbukiko JF-Expert Member Joined Apr 1, 2022 Posts 5,923 Reaction score 10,749 Nov 10, 2024 #158,984 Castr said: Nimecheka tu ulivyotuita walevi Click to expand... Leo hizo pombe zenu zitaisha
K Kimbukiko JF-Expert Member Joined Apr 1, 2022 Posts 5,923 Reaction score 10,749 Nov 10, 2024 #158,985 Castr said: Nimecheka tu ulivyotuita walevi Click to expand... Arteta na Kai Havertz ni mtu na mjomba wake 😆😆😆😆😆
Castr said: Nimecheka tu ulivyotuita walevi Click to expand... Arteta na Kai Havertz ni mtu na mjomba wake 😆😆😆😆😆
K Kimbukiko JF-Expert Member Joined Apr 1, 2022 Posts 5,923 Reaction score 10,749 Nov 10, 2024 #158,986 Castr said: Nimecheka tu ulivyotuita walevi Click to expand... Kama Pochetino na Ghallagher , leo msijidamganye kwamba Havertz haanzi ,anaanza ,maana huyo kiwete ndio super star wenu pale mbele
Castr said: Nimecheka tu ulivyotuita walevi Click to expand... Kama Pochetino na Ghallagher , leo msijidamganye kwamba Havertz haanzi ,anaanza ,maana huyo kiwete ndio super star wenu pale mbele
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,213 Reaction score 74,027 Nov 10, 2024 #158,987 Kimbukiko said: Leo hizo pombe zenu zitaisha Click to expand... Tukiwa wabovu hivi. Next match ikawa dhidi ya Kenge, mna kipa anaitwa Mendy. Tukawanyoosha 3
Kimbukiko said: Leo hizo pombe zenu zitaisha Click to expand... Tukiwa wabovu hivi. Next match ikawa dhidi ya Kenge, mna kipa anaitwa Mendy. Tukawanyoosha 3
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,213 Reaction score 74,027 Nov 10, 2024 #158,988 Kimbukiko said: Arteta na Kazi Havertz ni mtu na mjomba wake 😆😆😆😆😆 Click to expand... Hilo naweza nisipinge😅
Kimbukiko said: Arteta na Kazi Havertz ni mtu na mjomba wake 😆😆😆😆😆 Click to expand... Hilo naweza nisipinge😅
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,166 Reaction score 104,764 Nov 10, 2024 #158,989 Naipongeza Chelsea kwa kupata ushindi dhidi ya Asengema
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Nov 10, 2024 #158,990 Castr said: Tukiwa wabovu hivi. Next match ikawa dhidi ya Kenge, mna kipa anaitwa Mendy. Tukawanyoosha 3 View attachment 3148491 Click to expand... Sijaelewa hii kitu.
Castr said: Tukiwa wabovu hivi. Next match ikawa dhidi ya Kenge, mna kipa anaitwa Mendy. Tukawanyoosha 3 View attachment 3148491 Click to expand... Sijaelewa hii kitu.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,166 Reaction score 104,764 Nov 10, 2024 #158,991 Nicorandil said: Ili tumfikie City na Liver ni muhimu game ya kesho tufe na mtu. Hatuhitaji draw, tunahitaji ushindi..iwe kwa goli moja au 4 ili mradi ushindi. Click to expand... Hivi comment zenu za kujitia matumaini tutazifufua tuu
Nicorandil said: Ili tumfikie City na Liver ni muhimu game ya kesho tufe na mtu. Hatuhitaji draw, tunahitaji ushindi..iwe kwa goli moja au 4 ili mradi ushindi. Click to expand... Hivi comment zenu za kujitia matumaini tutazifufua tuu
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Nov 10, 2024 #158,992 Castr said: Tusiposhinda mechi ya leo tunashuka mpaka nafasi ya 7. Click to expand... Tukianza tu yale mambo ya inverted full back basi tumekwisha.
Castr said: Tusiposhinda mechi ya leo tunashuka mpaka nafasi ya 7. Click to expand... Tukianza tu yale mambo ya inverted full back basi tumekwisha.
N Nicorandil JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 268 Reaction score 760 Nov 10, 2024 #158,993 Tunajua umuhimu wa mechi ya leo. Ngoja niishie hapo.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,166 Reaction score 104,764 Nov 10, 2024 #158,994 Nicorandil said: Tunajua umuhimu wa mechi ya leo. Ngoja niishie hapo. Click to expand... Hata sisi Chelsea team pekee iliyoshinda makombe yenye heshima duniani hapo London tunajua umuhimu wa mechi ya leo.
Nicorandil said: Tunajua umuhimu wa mechi ya leo. Ngoja niishie hapo. Click to expand... Hata sisi Chelsea team pekee iliyoshinda makombe yenye heshima duniani hapo London tunajua umuhimu wa mechi ya leo.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,166 Reaction score 104,764 Nov 10, 2024 #158,995 Muiname ama msimame, leo lazima tuwalambe
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,213 Reaction score 74,027 Nov 10, 2024 #158,996 Ulimakafu said: Sijaelewa hii kitu. Click to expand... Huo msimu ilikua next match baada ya hizo kumi tunaenda kucheza na chelsea. First leg walitufunga 2, Lukaku akiwemo. Second leg ndiyo ilikua tunakutana baada ya hiyo worst form. Tukashinda 3. Chelsea walikua na kipa anaitwa Mendy, alikua anasifiwa sana kwenye kudaka
Ulimakafu said: Sijaelewa hii kitu. Click to expand... Huo msimu ilikua next match baada ya hizo kumi tunaenda kucheza na chelsea. First leg walitufunga 2, Lukaku akiwemo. Second leg ndiyo ilikua tunakutana baada ya hiyo worst form. Tukashinda 3. Chelsea walikua na kipa anaitwa Mendy, alikua anasifiwa sana kwenye kudaka
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,672 Nov 10, 2024 #158,997 Yaani leo tukibondwa, the season is over.
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,539 Reaction score 7,960 Nov 10, 2024 #158,998 Nyie KENGE, mpooo Attachments Screenshot_20241110_174026_BeSoccer.jpg 132.7 KB · Views: 15
ARV JF-Expert Member Joined Sep 6, 2011 Posts 5,539 Reaction score 7,960 Nov 10, 2024 #158,999 Ulimakafu said: Yaani leo tukibondwa, the season is over. Click to expand... Kwani kuna kitu mlikuwa mnategemea msimu huu?
Ulimakafu said: Yaani leo tukibondwa, the season is over. Click to expand... Kwani kuna kitu mlikuwa mnategemea msimu huu?
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,598 Reaction score 19,241 Nov 10, 2024 #159,000 Hii ndio arsenal ninayoijua Mimi Kenge wanaenda kuteseka