Huo uwezo hamna nyny malofa....timu Lina miaka karibu 10 nje ndani tunaligeuza ndo lije kutusumbua Sasa....mda ukifika wa kuingia bandani mnaingia taratibu kuchinjwa
Leo nilikuwa naangalia game ya Ipswich na villa nikasikitika sana....emery yy huwa hajui kukaba kabisa yule mzee....timu ndogo ndo zinamfaa...timu kubwa hawezi presha yake yule kocha
Leo nilikuwa naangalia game ya Ipswich na villa nikasikitika sana....emery yy huwa hajui kukaba kabisa yule mzee....timu ndogo ndo zinamfaa...timu kubwa hawezi presha yake yule kocha