Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arshavin vipi? Si bora yule dogo Chamberlain au mnasemaje wakuu?

Chamberlain wamemwacha London .... ...... ....... .. .usiwe na shaka goli litapatikana prof atabadili mpira na formation baadaye ... ..... ...
 
Reactions: Mbu
Leo itakuwa noumaa humu ndani, naona watu watakimbiana
 
Mmeona ile handball ... .... hivi hawa officials wanaokaa nyuma ya magoli kazi yao ni kula mpunga bila kufanya any decisions? Muda umefika wa kutumia technology .... ..... ...... .... .....
 

Jana ulikuwa wapi Wacha ngebe! khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee unakuja jipitisha pitisha huku ... ....

BTW ulilala usingizi wa pono?

Ndugu yako ngeleja alituhujumu.
 
Song anarembea mpira ndani ya BOX?????????????????????????????????????????????????????????????
 
Reactions: Mbu
Walcott kakosa bonge la chance.... that was a Clear cut Chance......
 
Mmeona ile handball ... .... hivi hawa officials wanaokaa nyuma ya magoli kazi yao ni kula mpunga bila kufanya any decisions? Muda umefika wa kutumia technology .... ..... ...... .... .....

Tulia wewe na chezeni mpira, unawaza handball tu, si mfunge basi au??Handball ya kuizungumzia>??
 
Duuu walcot ametoka nani atawakimbiza hawa jamaa sasa??na kuwapa pressure huyo Gervinho au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…