makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,590
Huyu de jong angetufaa kabisa, anaendana na style yetu ya kucheza.Anaweza mchukua De Jong, nimeona Barca wamemuoffer kwa Man u, akienda city hapo tutakuwa tumeisha.
Yale Mambo kwa trosad utayachoka mwenyeweKuna goli jana trossard kafunga, unaweza mtongozea beyonce na akambwaga jay z bila tabu.
Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interceptionArsenal are fielding offers from two Clubs for Thomas Partey. They are willing to leave Thomas go once their valuation is met !
Talks ongoing
#arsenalfanaticsnews
Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interception
Lazima tukubali, mpira unaendana na umri. Ni muda mzuri Sasa wa kumuachia partey
Msimu huu mtazaa mawe mkikutana na sisi , msimu uliopita mlikutana na maiti na mkashangilia kupiga risasi maiti .NIHESHIMU NIKUHESHIMU
Hiki ndicho alichokifanya HAVERTZ Jana dhidi ya LEVERKUSEN. Two assist na goli moja, na hakushangialia hata kidogo. Hiki inatokana na heshima aliyoonyeshwa na klabu pamoja na mashabiki wa LEVERKUSEN
Hali ilikuwa tofauti dhidi ya CHELSEA wakati tunawatwanga 5 hapo mjini EMIRATES. Alionekana kushangia sana katika goli mbili alizofunga, na zile tatu nyingine.
NIHESHIMU NIKUHESHIMU
View attachment 3064407
kwani we shabiki wa timu gani?Msimu huu mtazaa mawe mkikutana na sisi , msimu uliopita mlikutana na maiti na mkashangilia kupiga risasi maiti .
Na bila aibu mnajiona miamba.
Huyu kiwete wenu Harvetz mtamkataa msimu huu nakwambia , na mtabeba kibuyu cha ulanzi kama kombe .
Nasisitiza kombe mtakalobena Ninyi ni kibuyu cha ulanzi
Kawa mzito bora aendoke.Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interception
Lazima tukubali, mpira unaendana na umri. Ni muda mzuri Sasa wa kumuachia partey
Ni sahihi kazi na umri, basi tubebe zubimendi aje kuziba nafasi ya partey.. Na merino dili libaki pale pale, kuna umuhimu wa kuwa na kikosi kipana chenye wachezaji bora. .Wadau wanasema partey amekua mzito hasa kwenye ball recovery na interception
Lazima tukubali, mpira unaendana na umri. Ni muda mzuri Sasa wa kumuachia partey
Huyu auzwe tu🚨🔵⚪️ Understand Olympique Marseille have sent new bid to Arsenal for Eddie Nketiah!
Negotiations restart and Nketiah remains keen on the move to OM, attracted by the project.
OM happy to return in talks but they’d only advance at their conditions.
FABRIZIO
View attachment 3065036
Westham nao pesa zao wanajua kuzichezea hizi timu za midtable kuna sajili huwa wanafanya mpaka unawashangaaEdu kakaza kwa Nketiah, mazungumzo yanaanzia ukileta offer ya angalau €30m. Hiki ni fair kabisa.
Kwa kipindi hiki ambacho Füllkrug wa miaka 31, West Ham wamelipa 30m.Omorodion hajafikisha hata mechi 100, marasta wamelipa 40m.