Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Katika kitu nilichoshukuru na kufurahiq ni bichwa mzinga ten hag kubaki....yaani ni baraka kwakwli...point sita tyri tunazo kabla hata ligi haijaanza🤠🤠...Ineos miaka 100 kwao....na wampe mkataba wa miaka 5 kwakwli
Du unafurahi kocha mwenye kombe anabaki wakati kocha wakonanzurura tu hajui kombe ni nini
 
Pumba
 
Mkuu Bagabeach kwanza mtake radhi Claudio Ranieri kwa kumfananisha na vitu vya kijinga kijinga, ni dharau kubwa sana kumfananisha kocha mwenye kombe la Epl na kocha ambae mafanikio yake makubwa ni ngao ya jamii.
 
Mkuu Bagabeach kwanza mtake radhi Claudio Ranieri kwa kumfananisha na vitu vya kijinga kijinga, ni dharau kubwa sana kumfananisha kocha mwenye kombe la Epl na kocha ambae mafanikio yake makubwa ni ngao ya jamii.
Kweli, arteta bado sana, anawadaganya arsenyo kwa aerial dual won, na inverted midfield
 
False hopers mupoo ?
Ila mashabiki wa Arsenyetoz mna akili za panzi aisee
Bado kuna lishabiki maandazi la Arsenyetoz linaweza kubeba trophy msimu huu unaokuja
 
Hawa pimbi ndio walikuwa wanasema "tuletee madiridi " ,sisi ni mabingwa wa UEFa msimu huu ,
Yakaja kutolewa na Bayern mbovu kabisa ile.
Sijui yangekutana na moto wa vile vitoto vya Bernabeu yangefedheheshwa kiaina gani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Maanina
 
Hao arsenyo fans sio binadamu kama sisi. Me nawaona kama viumbe fulanj tofauti na sisi binadam
 
Mbona hata nyie mlikua mnatamba kombe lenu, tena mkasema mtamaliza ligi bila kufungwa. Mkasema FA, Carbao UEFA mtabeba yotee, kilichotokea sasa!!! hahahaha..... Aliewajaza huo ujinga mpk sasa hajulikani alipo.

Hawana vijana wa wenger orphans wanatabu sana. Kila msimu wanatia sana. Huruma
. Hakuna kitu kinauma kama kuwa kwenye form misimu miwili then una achieve zero trophy 0 inauma snaa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…