arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Siku mkija kustuka kwmba tajiri miluzi kaigeuza timu rasmi kuwa ni ya biashara na sio ya kugombea makombe itakuwa too late sasahvi mnaenda kucheza conference league na mkikaa vbaya mwakani hata Hilo kombe la conference league itakuwa mwanzo na mwsho kushiriki muanze kuwa wazururaji mulemule Uingereza kama kina Bournemouth....kenge hasikii mpk masikio yatoke damuPotelea mbali, nachojua chelsea watapa mafanikio kabla yenu.
Katika kitu nilichoshukuru na kufurahiq ni bichwa mzinga ten hag kubaki....yaani ni baraka kwakwli...point sita tyri tunazo kabla hata ligi haijaanza...Ineos miaka 100 kwao....na wampe mkataba wa miaka 5 kwakwli
Wauze tu huyu kijanaUkisikia Majaribu ndio haya sasa
Reports indicate that PSG made a bid close to 100m for Arsenal Winger Martinelli, it's believed that PSG looks at Martinelli as a replacement for Mbappe.
Arsenal remains adamant, hower a player may be tempted of a big contract proposal PSG would like to offer, personal terms not a problem; it remains wether Arsenal is willing to cash him out!!View attachment 3016938
Kwa hiyo Arsenal nyie ndio mnajiona mna future yoyote? au ndio mmeamua kuishi kwenye kadunia kenu wenyewe kamafalse hoppers.Siku mkija kustuka kwmba tajiri miluzi kaigeuza timu rasmi kuwa ni ya biashara na sio ya kugombea makombe itakuwa too late sasahvi mnaenda kucheza conference league na mkikaa vbaya mwakani hata Hilo kombe la conference league itakuwa mwanzo na mwsho kushiriki muanze kuwa wazururaji mulemule Uingereza kama kina Bournemouth....kenge hasikii mpk masikio yatoke damu
Muda ndo huu wa kusajili....mwaka jana mlianza na Liver mkatamba kwa lile bolu mlopiga siku ile ubingwa wenu....mwaka huu mnaanza na City...hatutaki malalamiko baadaeKwa hiyo Arsenal nyie ndio mnajiona mna future yoyote? au ndio mmeamua kuishi kwenye kadunia kenu wenyewe kamafalse hoppers.
Miaka mitano Arteta anarukaruka tu hamna chochote alichoachieve bado mnajiona na nyie hamna utofauti na Bournemouth!!!!
Ligi ikianza watasepa wenyeweMuda ndo huu wa kusajili....mwaka jana mlianza na Liver mkatamba kwa lile bolu mlopiga siku ile ubingwa wenu....mwaka huu mnaanza na City...hatutaki malalamiko baadae
Siku mkija kustuka kwmba tajiri miluzi kaigeuza timu rasmi kuwa ni ya biashara na sio ya kugombea makombe itakuwa too late sasahvi mnaenda kucheza conference league na mkikaa vbaya mwakani hata Hilo kombe la conference league itakuwa mwanzo na mwsho kushiriki muanze kuwa wazururaji mulemule Uingereza kama kina Bournemouth....kenge hasikii mpk masikio yatoke damu
Kwli kabisa🤠🤠.... conference league la kwenu lile...mkaupige mwingi majirani... Ila huku kwny ligi mjitahidi kusajili vzuri...sio mkifungwa mechi kumi mnaanza kutukana kocha....hatutakiChelsea ikishiriki kombe lolote la Ulaya lazima abebe. Ninyi mmeshiriki makombe ya ulaya marangapi na mmeshinda mangapi?
Ninyi kule mnaenda kuzurura tu. Hamna lolote.
Chelsea itabeba kombe kubwa kabla yenu subiri uone
Anajua sema anakaza tu fuvu.Chelsea ikishiriki kombe lolote la Ulaya lazima abebe. Ninyi mmeshiriki makombe ya ulaya marangapi na mmeshinda mangapi?
Ninyi kule mnaenda kuzurura tu. Hamna lolote.
Chelsea itabeba kombe kubwa kabla yenu subiri uone
Mbona hata nyie mlikua mnatamba kombe lenu, tena mkasema mtamaliza ligi bila kufungwa. Mkasema FA, Carbao UEFA mtabeba yotee, kilichotokea sasa!!! hahahaha..... Aliewajaza huo ujinga mpk sasa hajulikani alipo.Muda ndo huu wa kusajili....mwaka jana mlianza na Liver mkatamba kwa lile bolu mlopiga siku ile ubingwa wenu....mwaka huu mnaanza na City...hatutaki malalamiko baadae
Narudia mtani...sajilini watu wa maana...sasahivi utatufanyia vurugu hmu ndani ila ligi ikianza unaanza kuonekana kwa nadra kama jasho la kukuMbona hata nyie mlikua mnatamba kombe lenu, tena mkasema mtamaliza ligi bila kufungwa. Mkasema FA, Carbao UEFA mtabeba yotee, kilichotokea sasa!!! hahahaha..... Aliewajaza huo ujinga mpk sasa hajulikani alipo.
Hakuna kocha humo.Huu ufala, ndio maana white alimzingua Southgate
Cole Palmer scored or assisted 42 goals this season, more than any other midfielder in Europe's Top 5 Leagues.
ZERO minutes at Euro 2024 so far.View attachment 3021977
Mbona hata nyie mlikua mnatamba kombe lenu, tena mkasema mtamaliza ligi bila kufungwa. Mkasema FA, Carbao UEFA mtabeba yotee, kilichotokea sasa!!! hahahaha..... Aliewajaza huo ujinga mpk sasa hajulikani alipo.
Du unafurahi kocha mwenye kombe anabaki wakati kocha wakonanzurura tu hajui kombe ni niniKatika kitu nilichoshukuru na kufurahiq ni bichwa mzinga ten hag kubaki....yaani ni baraka kwakwli...point sita tyri tunazo kabla hata ligi haijaanza🤠🤠...Ineos miaka 100 kwao....na wampe mkataba wa miaka 5 kwakwli
PumbaMashabiki wa arsenal sio binadamu kama sisi.
Arteta sio kocha wazee, na hapo kafika peak yake km ile ya Raniel wa Leicester 2016, so msimu ujao anaanza kuporomoka.
Hata solkjaer second position alishika.
Chelsea na man u watarud na wachukue makombe kabla yenu, amini, nawaambia
Anzeni na kocha, na midfield ya odegard sio ya kukupa ubingwa.
Nyie laana mna noma.
Odergard ni bora kuliko de brune, hii ni moja kati ya laana mlizojitakia, au ile laana ya kuidharau uefa wakati mna miaka 100+ hamuijui.
DOMO FC