Hizi habari mjitahid muwe mnachuja jamani, huyu huyu Martinel anaekimbia kimbia na mpira amengalia chini kama kuku mwnye kideri ndio auzwe bei hiyo!!!!!Ukisikia Majaribu ndio haya sasa
[emoji599][emoji599] Reports indicate that PSG made a bid close to 100m for Arsenal Winger Martinelli, it's believed that PSG looks at Martinelli as a replacement for Mbappe.
Arsenal remains adamant, hower a player may be tempted of a big contract proposal PSG would like to offer, personal terms not a problem; it remains wether Arsenal is willing to cash him out!!View attachment 3016938
Aende tu. Huwa anamfundisha tabia mbaya Ben White.Kocha wa set pieces wa Arsenal, Jover, anatakiwa na Bayern na Barcelona.
Arsenal imegoma kumuachia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizi habari mjitahid muwe mnachuja jamani, huyu huyu Martinel anaekimbia kimbia na mpira amengalia chini kama kuku mwnye kideri ndio auzwe bei hiyo!!!!!
Anasubiri lisupa kompyuta liseme ndio atoe tamko.Hamisi chambuzi la KIFIFA yupo wapi siku hixi huu ndiyo muda wa kuleta chambuzi sasa. Tufarijike kama wanachama. Aerial due win, mara sijui nini Hamisi plz we need your analysis so far
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watu tunajazana humu sio kwa sababu ya ukubwa wa timu, humu tunajaa kwa sababu ya midomo ya mashabiki wa Arsenyau.Nilichogundua, ukiachana watu kusema Ni amshabiki wa timu Fulani
Ila moyoni mwao, arsenal imechukua sehemu kubwa sana
Arsenal ni kubwa mno, city ndio bingwa lakini watu wamejazana humu daily
Kule Uzi wa city painkiller amejitengenezea ID kadhaa ili awe anajibishana yeye mwenyewe
View attachment 3019901
Huku tunafuata comedy, mtu anakwambia anamtaka Madrid wakat timu yake ina akina Havrtz wkt wenzenu wana Viberenge kina Vinicius. Kama sio komedy ni nini.Nilichogundua, ukiachana watu kusema Ni amshabiki wa timu Fulani
Ila moyoni mwao, arsenal imechukua sehemu kubwa sana
Arsenal ni kubwa mno, city ndio bingwa lakini watu wamejazana humu daily
Kule Uzi wa city painkiller amejitengenezea ID kadhaa ili awe anajibishana yeye mwenyewe
View attachment 3019901
Kuna Jackson version 2 yupo atletico Madrid tajiri miluzi anamuwinda🤠🤠...Chelsea na wachezaji ma Nigger sijui kuna nn....sajilini vzuri sio ikifika katikati ya msimu mnaanza kama kawaida kumrushia maneno machafu kocha wenu...mda mnao mpk August...msimu huu hatutaki sababuHuku tunafuata comedy, mtu anakwambia anamtaka Madrid wakat timu yake ina akina Havrtz wkt wenzenu wana Viberenge kina Vinicius. Kama sio komedy ni nini.
Bado kuna ile ya Arse88 Kondoo
# Havertz Sendozi
Ligi ianze tu mapema jamani tufurahi
Katika kitu nilichoshukuru na kufurahiq ni bichwa mzinga ten hag kubaki....yaani ni baraka kwakwli...point sita tyri tunazo kabla hata ligi haijaanza🤠🤠...Ineos miaka 100 kwao....na wampe mkataba wa miaka 5 kwakwli[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watu tunajazana humu sio kwa sababu ya ukubwa wa timu, humu tunajaa kwa sababu ya midomo ya mashabiki wa Arsenyau.
Takwimu zinaonyesha Arsenyau ndio timu inayoongoza kwa kua na mashabiki wengi waimba taarabu kuliko timu nyingine yoyote duniani.
Hata hapa Jf jukwaa la Arsenyo ndio linaloongoza kwa mipasho, majigambo, majungu, fitina, husuda pamoja na matusi.
Hivyo linapowakuta jambo lazima raia wema tujazane humu kwa wingi kuwapongeza kwa kuwin aerial duel[emoji16][emoji16][emoji16]
Potelea mbali, nachojua chelsea watapa mafanikio kabla yenu.Kuna Jackson version 2 yupo atletico Madrid tajiri miluzi anamuwinda🤠🤠...Chelsea na wachezaji ma Nigger sijui kuna nn....sajilini vzuri sio ikifika katikati ya msimu mnaanza kama kawaida kumrushia maneno machafu kocha wenu...mda mnao mpk August...msimu huu hatutaki sababu
Huna tofauti na mganga wa jadi.Potelea mbali, nachojua chelsea watapa mafanikio kabla yenu.
Siku mkija kustuka kwmba tajiri miluzi kaigeuza timu rasmi kuwa ni ya biashara na sio ya kugombea makombe itakuwa too late sasahvi mnaenda kucheza conference league na mkikaa vbaya mwakani hata Hilo kombe la conference league itakuwa mwanzo na mwsho kushiriki muanze kuwa wazururaji mulemule Uingereza kama kina Bournemouth....kenge hasikii mpk masikio yatoke damuPotelea mbali, nachojua chelsea watapa mafanikio kabla yenu.