Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi unaujua ubingwa wa uingereza ulivyo tafu? Unadhani kushinda na klop na pep ambao hata ulaya watu wanakalishwa? Kufikisha pointi 80 ligi kuu sio poa
Kaka mimi sizungumzii ubingwa wa Epl wala Uefa pekee, ni kweli sio kazi rahisi kupata ubingwa wa hayo makombe mawili, ila kwa ubora wa Arsenal hii mmeshindwa Epl na Uefa basi mngebeba hata hivyo vikombe vidogo vya FA na Carabao.
Hata wajukuu zenu siku mkija kuwahadithia kua Arsenal ya 2022/2023 na 2023/2024 ilikua ni ya moto kwelikweli, wakiwauliza ilishinda kombe gani? halafu mkawaambia haikushinda kombe lolote misimu yote miwili walimaliza mikono mitupu sidhani kama watawaelewa.
 
Unabwabwaja nn ww Lofa Mlinda mageti🀠🀠....akichukua kipara kastahili..tutajifunza kwa mistakes tulizofanya na mwakani kwny fezi foo tunabeba hii ndoo....msitufananishe sisi na nyny...tupo mbali sana kwa sasa
 
Unabwabwaja nn ww Lofa Mlinda mageti
....akichukua kipara kastahili..tutajifunza kwa mistakes tulizofanya na mwakani kwny fezi foo tunabeba hii ndoo....msitufananishe sisi na nyny...tupo mbali sana kwa sasa
kila wisho wa msimu maneno yenu ni hayohayo tu mtajifunza kwa mistakes mlizofanya na mwakani kwenye fezi foo mtabeba ndoo, cha ajabu hizo fezi foo hua haziishi, kila msimu kwenu ni fezi foo na mbaya zaidi hua hata hamjifunzi kabisa kwa hizo mistakes mlizofanya msimu ulioisha

Mlinda geti kazi yangu humu ni kutembeza spana tu mpaka mjirekebishe na kuacha uzwazwa na false hopes za kijinga, tena umenikumbusha ngoja nianze kufukua makaburi maana ninazo quotes zako za kutosha humu ukiwadanganya misukule wenzako kua msimu huu lazima mtabeba Epl na Uefa
 
 

What happens if Arsenal and Manchester City finish level on points?​

If there is a tie, the league is determined by goal difference, followed by goals scored, most points earned in head-to-head play, and most goals scored away from home in the head-to-head record
 
False hopers mpo? Kesho ndo siku ambayo tulikua tunaisubiri kwa hamu ili maneno yetu yatimie.
Jamiii check wanasubiri nini kuthibitisha kama nyinyi huwa mna matumaini bandia ushahidi umeshaletwa kwa hisani ya Unai emery na vijana wake wa Aston villa.
Hongereni mwaka huu mmefanya bottle kitasha sana , mmeshasahau kuwa before game ya aston villa nyinyi ndo mlikuwa mnaongoza ligi.

Game week 33 , Arsenal vs Aston villa mkiwa emirates 2 points ahead zikiwa zimebaki game 5 ligi iiishe mkafa 2:0 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa nyinyi nae mtasema mlikuwa mnatafuta ubingwaπŸ˜‚πŸ˜‚, Nyinyi ni false hopers mtazidi kuwa false hoper tu kenge nyinyi yaani game zimebaki 5 mnashindwa kukomaa mpewe nini sasa nyinyi , kila mwaka mnajipa false hope mmejifunza kutokana na makosa mpaka mtazeeka bado mnajifunza tu.

Unaambiwa za ndani kabisa ilitabiriwa arsenal atabeba EPL mpaka mtoto wa mtoto wa malkia Elizabeth awe King ( yaani mtoto wa king charles awe king) ndo kama mnavyojionea prince harry nae kaukataa ufalme tayariπŸ˜‚πŸ˜‚ technically inamaanisha arsenal hawezi chukua EPL mpaka dunia inaishaaa.
 
Kule kwenye uzi wao kumejaa articles ndefu ndefuuuuu za kizungu za copy-paste za kina Manyanza na Grau, kuhusu Klopp kuondoka na Slot kuja. Hata hakuna anayezielewa. Wanaona bora waje huku watukere tu.
Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .

Tufanye umeanza kushabikia mpira mwaka ambao wenger ndo anakabiziwa team 1995 tukihesabu makombe arsenal aliyochukua ya epl mpaka tunavyoongea saivi 2024 ni makombe 3 tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1997/1998 , 2001/2002, 2003/2004 .
Tuchukulie dogo alianza kushabikia man city 2011 ana makombe ambayo ameyaona as fan of man city makombe 7 kesho la nane πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kweli kabisa. Wamepiga hatua kubwa sana huku sisi wengine tumeharibu na kuzembea vibaya sana πŸ˜„πŸ˜„
 
Huwa unaongeaga fact sana we jamaa, respect!
 
Ni lini nilisema tutabeba UEFA mkuu 🀠 🀠....usinilishe maneno shehe....ndoo ya EPL Emery katufanyia roho mbaya tu🀠🀠...ila fezi foo hii kitu tunanyakua...msimu ujao big six wte mjiandae kutuchangia points 6 maana tuna jambo letu
 
Manisiti bingwa wa epielo tayari huku sijui kwa masaa ya asenali ze ganazπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…