OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Huo msimu ambao Liverpool alimaliza na points 97 huku akiwa amepoteza mechi moja tu ndio niliamini hii ligi meshanajisiwa.Kwel kabisa, kufikisha point 99 ama 97 na bado usiwe bingwa unaanzaje kutoa lawama.
Binafsi naona walau ukiweza kufikisha point 90+ hata ukikosa ubingwa ujue u had the best oponent dhidi yako na unapaswa kukubaliana na hilo.
Hawa majirani zetu ni wehuWatoto mayatima nyie munataka kubeba ligi na aki
Kitu pekee nyie wa matofalini mnachojivunia sasa hivi ni hizi old glories na pas records ambazo hakuna anaejali....Ndugu yangu Muhimbu punguza makasiriko, miaka 11 RVP aliyoipoteza kwa kuchezea Arsenyo aliishia kupata kakombe kamoja tu ka FA.
Ukinionesha picha kama hii ya RVP akiwa amebeba hili kombe na Arsenyo, mimi nitakuonyesha picha ya Paka mwenye mapembe. View attachment 2990676
Kama kuna watu ambao wanatakiwa wawe watu wa mwisho kabisa kuikejeli au kuisema vibali Arsenal basi ni nyie Cheltako.... yaani nyie hata New Castle wanaoenekana wana brighter future kuliko timu yenu..Wenger orphans nyie mutabeba vikombe vya uji tuπππππ
Sisi tunajenga timu, ninyi munajaribu kuunga unga Bado hamuna pesa za kuwavuta vichwa vikali kama akina Jackson, James, Nkuku, Enzo hamuna ellaa nyie...Kama kuna watu ambao wanatakiwa wawe watu wa mwisho kabisa kuikejeli au kuisema vibali Arsenal basi ni nyie Cheltako.... yaani nyie hata New Castle wanaoenekana wana brighter future kuliko timu yenu..
Misimu ukianza jaribu kuangalia predictions za Opta Supercomputer kati yenu na new castle ni nani mwenye probability kubwa ya kuchukua ubingwa, kama hujakuta NWU wamepewa 3% wakati huo nyie mna 0.01%. Cheltako ni club ambayo imejifia na haijulikani itafufuka lini
Wenger orphans nyie mutabeba vikombe vya uji
Kwamba kutoa draw na Chelsea ile mechi ya kwanza uliona ni kitu rahisi sio , hivi uliangalia hiyo game mlivyokuwa mmekaangwa ?N
Na kwa man city hii, tusitegemee kupata ubingw kwa makosa ya mpinzani bali kwa ubora wetu, game za kipuuzi, hizi na aston villa, 2-2 vs chelsea, game na westham, kuna fulham, Tottenham ile game ya kwanza, ndio zimetuangusha saana,...
Wewe kalia hayo masupakompyuta yako kila msimu ni kula vitasa , mnamaliza trophyless hayo makompyuta na predictions zenu hewa hizo zinawasaidia nini ?Kama kuna watu ambao wanatakiwa wawe watu wa mwisho kabisa kuikejeli au kuisema vibali Arsenal basi ni nyie Cheltako.... yaani nyie hata New Castle wanaoenekana wana brighter future kuliko timu yenu..
Misimu ukianza jaribu kuangalia predictions za Opta Supercomputer kati yenu na new castle ni nani mwenye probability kubwa ya kuchukua ubingwa, kama hujakuta NWU wamepewa 3% wakati huo nyie mna 0.01%. Cheltako ni club ambayo imejifia na haijulikani itafufuka lini
Liverpool is out of the title race
Wahuni wametembeza ukuni mechi Tano mfululizo wameshinda ..Hawa ngedere arse8 sijui itakuwaje ..yani hadi hurumaππππNaangalia mazoezi ya Everton hapa. Aiseee kazi mnayo. Kenge nyie.
Kwel kabisa, kufikisha point 99 ama 97 na bado usiwe bingwa unaanzaje kutoa lawama.
Binafsi naona walau ukiweza kufikisha point 90+ hata ukikosa ubingwa ujue u had the best oponent dhidi yako na unapaswa kukubaliana na hilo.
Kwel kabisa, kufikisha point 99 ama 97 na bado usiwe bingwa unaanzaje kutoa lawama.
Binafsi naona walau ukiweza kufikisha point 90+ hata ukikosa ubingwa ujue u had the best oponent dhidi yako na unapaswa kukubaliana na hilo.
Selikavu ...
Siyo mimi aisee. Namponda sana Arteta ila huwa napenda kuangalia mema pia.
Ukicheki misimu yetu iliyopita na tulipo sasa:
2019/20 - 8th -56 points
2020/21 - 8th - 61 points
2021/22 -5th - 69 points
2022/23 -2nd - 84 points
2023/24 - 2nd - 86 points. Bado mechi moje. Uwezekano wa kumaliza na 89 upo.
Hii inaonesha tunafanya maboresho, yapo kidogo, msimu kwa msimu.
Tumetoka kutamani top 4 na kufurahia kuingia ulaya, sasa tunataka ubingwa na tumeonesha tunataka kuwa timu kubwa EPL na Ulaya kwa ujumla.
Tatizo ni kupata ile hali ya kuchoka kupambana. Ila tukiendelea hivi, hatuna haja ya kuwa na wasiwasi. Yajayo yanafurahisha.