Labda amewachoka wachawa akina Flano na chawa wake akina mkohoti wanavyomsagia kunguni daily, tushinde tusishinde.Inawezekana bundle limekata
Bado kaka zao, mwenge hauruki kijiji
🤣🤣Au sioBado kaka zao, mwenge hauruki kijiji
Ila ukweli yule Madueke ni mzuri sana, yaani yule akimpata kocha kama Arteta atakuwa wa moto sanaUsisahau umri wa Saka ni 35years na wa Madueke ni 22yearsView attachment 2979836
Labda amewachoka wachawa akina Flano na chawa wake akina mkohoti wanavyomsagia kunguni daily, tushinde tusishinde.
Ila raha tuliyonayo sasa ni miaka 3 nyuma tulikuwa tunapambania kuingia michuano ya Ulaya ila sasa ni kupambania kombe. Kwa watesi wetu sasa sisi kufeli ni kukosa ubingwa wakati kwao kufeli ni kushindwa kuingia top 4. Hamisi anawapigaga sana spana za hivi ndiyo maana ameona awalegezee kamba kidogo. Ila ole wao Mamacita ateleze (nigh impossible) tubebe kikombe, hakuna rangi wataacha ona.
Ogopa sana Premier League early kick-off. Mechi ya mapema huwa lazima itoe matokeo yakushangaza. The Cherries nao si haba msimu huu, Arsenal wanaweza kupigwa tukio mapema tu kabla hawajafika machinjioni 'Old Trafford'.
Ni kwenu wote ila nani anataka points 3 zaidi? Mechi kama hizo underdog huwa anapata matokeo.
Siyo lazima itokee hivyo, ila kwenye historia ya EPL fuatilia utakuta timu yoyote kubwa ikicheza mapema inadondosha points.
Brighton and Hove Albion wanacheza saa ngapi mkuu🤠🤠....jana vijana wenu mpk half time walikuwa washadundwa nne Sasa sijui iliishaje...ile ni dalili ya kuonesha jinsi kaka zao mtakavyonyanyasika tukiwafata...msilete timu uwanjani ndugu zetu...huu ni ushauri wa bure tunawapaNi kwenu wote ila nani anataka points 3 zaidi? Mechi kama hizo underdog huwa anapata matokeo.
Siyo lazima itokee hivyo, ila kwenye historia ya EPL fuatilia utakuta timu yoyote kubwa ikicheza mapema inadondosha points.
wivu unakusumbua ndugu yangu dhidi ya gunnersView attachment 2980364Most overrated player tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu ni Bukayo Saka. Naona wameshituka saivi kwenye tuzo hayupo
Ni kweli hatuwezi kuwa kama nyie angalia mafanikio yetu vs yenu. Timu lina miaka ishirini halijabeba ipielowivu unakusumbua ndugu yangu dhidi ya gunners
liva mmeshapoteana kubalini tu nyie hamuwezi kuwa kama sisi
ndo mnachoringia hadi leo.Ni kweli hatuwezi kuwa kama nyie angalia mafanikio yetu vs yenu. Timu lina miaka ishirini halijabeba ipielo