Kama ndio hivyo tumuweke jamaa kenye sala zetu apate nafuu ya haraka aendelee kutuletea burudani hapa. Maana huwa anawapa moyo sana mambo yakienda yoyo washika mitutu.Bro, tuna wasiwasi jamaa anaumwa au kuna shida flani. Ile 5g tu tuliyompiga Chelkenge ilitosha kumfanya mwenzetu aonekane usiku ule ule, ila mpaka leo holaa.
Namuona Twitter JF kajipiga BanKama ndio hivyo tumuweke jamaa kenye sala zetu apate nafuu ya haraka aendelee kutuletea burudani hapa. Maana huwa anawapa moyo sana mambo yakienda yoyo washika mitutu.
Jamaa Twitter anatumia jina ganiNamuona Twitter JF kajipiga Ban
Awe anakuja kuaga kwanza bhanaaaJamaa Twitter anatumia jina gani
Chawa wake tumfollow na kupata nondo za mjini Highbury pale
Jamaa aumwi wala nini ashasema kile kipigo cha Aston Villa kimemfanya a focus na biashara yake ya kuuza jezi kule Twitter X kule X muda wote. ana post vitu hapa naona anaogopa kupigwa mawe kwa comment zake na lijamaa uwaga alikomi.🤣🤣🤣🤣Kama ndio hivyo tumuweke jamaa kenye sala zetu apate nafuu ya haraka aendelee kutuletea burudani hapa. Maana huwa anawapa moyo sana mambo yakienda yoyo washika mitutu.
Nitumie DM account yake ya X nimuendee hukohuko, haiwezekani akatema bungo mapema hivi na kuwaachia msala chawa wakeJamaa aumwi wala nini ashasema kile kipigo cha Aston Villa kimemfanya a focus na biashara yake ya kuuza jezi kule Twitter X kule X muda wote. ana post vitu hapa naona anaogopa kupigwa mawe kwa comment zake na lijamaa uwaga alikomi.
Kweli Bayern na Aston Villa ni kiboko hata ile account ya busara za gwiji la Highbury hakuna tena
Mkuu nadhani sina iyo haki kufanya ivyo yeye labda a share hapa mwenyewe.Nitumie DM account yake ya X nimuendee hukohuko, haiwezekani akatema bungo mapema hivi na kuwaachia msala chawa wake
Mkuu nadhani sina iyo haki kufanya ivyo yeye labda a share hapa mwenyewe.
Giwiji la Highbury lipo kamili gado mjini twitter linashusha madini. Sema kutoa jina la account labda atoe mwenyewe 😀Jamaa Twitter anatumia jina gani
Chawa wake tumfollow na kupata nondo za mjini Highbury pale
Hahahahahaa kabisaUkiona wakongwe humu wameanza kujitokeza kama hivi ujue ni dalili nzuri ya kubeba EPL.
Miaka 11 ya JF sio mchezo Mkuu
Respect
🤣 Ila hii mechi mkitufunga halafu mkakosa ubingwa mtanikera sana. Tukishinda tutakuwa tumeweka heshima.
Security guard anavyotufatafata utadhani sisi ndo tuko kwny nafasi Yao halafu wao wako kwny nafasi yetu....kumbe ni tofauti kabisa
Partey na Raya tu ndo hawajafunga wala kutoa assistMagoli na maassist yamezagaa uwanja/kikosi kizima. Hapo bado benchi wako akina Jorginho, akina Jesus....
Halafu mtu anakuja kuuliza eti Saka na Gordon, mara sijui Havertz na Jackson, eti Palmer....
Sijui nani aliwaambia hizo ni shida zetu.
View attachment 2977572
Partey amecheza mechi sijui nne tu.Partey na Raya tu ndo hawajafunga wala kutoa assist
yaani wakijifanya wanawabana wakina saka,trosard,Magoli na maassist yamezagaa uwanja/kikosi kizima. Hapo bado benchi wako akina Jorginho, akina Jesus....
Halafu mtu anakuja kuuliza eti Saka na Gordon, mara sijui Havertz na Jackson, eti Palmer....
Sijui nani aliwaambia hizo ni shida zetu.
View attachment 2977572
hao nao wakaze wabaki hapohapo top sixJirani..mechi itakayoamua kama tuna nafasi ya ubingwa ni Tottenham vs City.. wale wadogo zetu wakikaza basi ndoo tunabeba...ila wakizingua ndo itakuwa basi🤠🤠
Nimeshaanza maandalizi ya kufanya party iwapo timu yetu ya Arsenal itachukua Ubingwa Mwaka huuHahahahahaa kabisa
Mkuu jiandae kuja kwenye party ya bure nitakayoiandaa Mwezi May, 2024 Arsenal tukichukua UbingwaUSHAURI WA BURE KWA SHABIKI WA ARSENAL KUHUSU MECHI ZILIZOBAKI.
1. Kusitisha kuangalia mechi zilizobaki za CITY, atashinda zote
2. Kukusanya dawa zote ndani ya nyumba na kwenda kuzitupa mbali au kuzichoma moto
3. Kukusanya kamba zote, mtandio, kanga na mkanda ndani ya nyumba na kwenda kuvichoma moto.
4. Ondoa vitu venye ncha kali kama kisu na bisisi nyumbani kwako na kwenda kuvitupa mbali.
5. Mwisho usipite kwenye madaraja marefu au karibu na visima virefu.
MWISHO WA MSIMU UTANISHUKURU
kaMkuu jiandae kuja kwenye party ya bure nitakayoiandaa Mwezi May, 2024 Arsenal tukichukua Ubingwa
Karibu sana Mkuu 🤗