Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamani anaeelewa nini Kai anafanya humo ndani aje anielekeze tafadhali
au anipe strength zake kama mchezaji kwenye timu yetu ya arsenal naomba sanaa msaada maaana sielewi afu sielewi tena
 
Kwa nafasi mlizopata mlitakiwa mpaka HT mngekua mnaongoza kwa goli zisizopungua 3, hii mechi ina kila dalili ya kumalizika kwa draw.
 
Yaani sisi tumechoka.
Hawa kenge hawawezi kucommect hata pasi 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…