Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I already said huyu Kai anakua mzuri akiwa na watu pembeni. One two n the like, kulifuata goli ilibidi awe Jesus
 
I already said huyu Kai anakua mzuri akiwa na watu pembeni. One two n the like, kulifuata goli ilibidi awe Jesus
Kwa hii game hatuhitaji height yake. Nafikiri angekuwepo Jesus, baadhi ya zile chances angejaribu kushoot ba huenda angepata goli
 
second half inahitajika fresh legs.. wachezaji wengi wa arsenal wanaonkana kuchoka sana na hii ni sababu ya wengi wao kucheza dakika nyingi zaidi msimu huu tofauti na wanaotokea benchi.
 
second half inahitajika fresh legs.. wachezaji wengi wa arsenal wanaonkana kuchoka sana na hii ni sababu ya wengi wao kucheza dakika nyingi zaidi msimu huu tofauti na wanaotokea benchi.
Vieira kwa odegard

Martinelli kwa Trossard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…