Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mshindwe tu wenyewe kwa combo ya Badiashile na Disasi mpk hapo mshashinda 2+
 
Oya wanangu wa Arsenal leo tutoe wasiwasi leo Chelsea tunamla vizuri tu wala hatotusumbua ili tumshushe Man City nafasi ya 2 huko akagombanie FA na Manure.
 
harvetz wa nini kwa hii mechi ya leo waungwana
Nafikiri Arteta kaona timu nyingi tukicheza nazo zinafanya low block so Havertz anakuepo kwa ajili ya runs na kusumbuana na defense.

Ndiyo maana partey kaanza kwa ajili ya zile thru balls na long balls
 
Today Arteta will change the doubters to believers πŸ’ͺ
Here EPL is coming home πŸ‘
 
Nafikiri Arteta kaona timu nyingi tukicheza nazo zinafanya low block so Havertz anakuepo kwa ajili ya runs na kusumbuana na defense.

Ndiyo maana partey kaanza kwa ajili ya zile thru balls na long balls
Partey sijui kama atakuwa na match fitness. Kwa sasa nafikiri Jorginho yuko fiti zaidi ila Partey ni mchezaji mzuri zaidi. Tuone itakuwaje.
 
Partey sijui kama atakuwa na match fitness. Kwa sasa nafikiri Jorginho yuko fiti zaidi ila Partey ni mchezaji mzuri zaidi. Tuone itakuwaje.
Upo sahihi, mimi pia nimewaza hivyo hivyo.

Ila Jorginho ni risk kwenye kukaba. Chelsea ina wachezaji wengi wenye pace, so counter kwao ni option nzuri leo
 
Upo sahihi, mimi pia nimewaza hivyo hivyo.

Ila Jorginho ni risk kwenye kukaba. Chelsea ina wachezaji wengi wenye pace, so counter kwao ni option nzuri leo
Leo tunatakiwa tuwe na accurate passes nyingi ili kenge wakimbie wachoke, na kuwa effective kwenye box. Tuache masihara kwenye umaliziaji.
 
Nimeona nije mapema kuwakumbusha nyie Punda wa kwenye mashamba ya mpunga, Leo tunawakanda bila huruma.......tukiwasamehe sana basi tunawatia DUDU hiziiiiii.......Mbili (2), lakini kama POCH akiwaambia madogo ule msemo wa NO MERCY, basi ninauhakika mashabiki wa asenyani (Punda wa kwenye mashamba ya mpunga) wote mtazima TV na wengine kutoroka vibanda umiza.
 
shutka,hizo ndoto sio nzuri
 
Partey yupo dimbani

Kenge Leo anavutishwa pumzi ya Moto mbele ya kandamnasi
 
Tusipo chukua points 3 niulizwe Mimi

Partey yupo dimbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…