IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,375
- 4,275
14...kuna lingine mkuu kama unalo uliza tutakujibuNauliza tu sio kwa ubaya Je Harry Kane kawafunga goli ngapi?
Mashabiki wao wamefungiwa ndio, mechi iliyopita na lazio walipiga mafataki uwanjaniKwnn mkuu...wamefungiwa au
14Nauliza tu sio kwa ubaya Je Harry Kane kawafunga goli ngapi?
Mkuu natoa ahadi hmu jukwaani...Hawa wakitufunga hzo goli nitajitoa rasmi...na nitakukabidhi 100000/= taslimu...fedha za kitanzaniaKile kikosi cha bayern kiliwapiga kumi kilikuwa cha wazee kimeshajichokea wasta wa umri ulikuwa miaka 29 wachezaji wao tegemezi ni babu Robben na babu Ribery. Nime analyse umri wa kikosi chao cha sasa ni miaka 26 Poleni saan hapo mnawakati mgumu sana.
Full time on aggregate Arsenal 3- Bayern 15
Tunamtakia Kila la heri siku hyo aje tucheze boluNaangalia takwimu hapa inaonesha Kane akicheza na Arsenal huwa anakuwa na rating ya 10/10 kwenye game zote anazocheza.
Vzuri sana...Sasa wajiandae kuondoka na kapu la magoli🤠🤠Mashabiki wao wamefungiwa ndio, mechi iliyopita na lazio walipiga mafataki uwanjani
Unaimba sana taarabu .. ila bayern anakufa 4-1 pale emirates .. subir uoneKile kikosi cha bayern kiliwapiga kumi kilikuwa cha wazee kimeshajichokea wasta wa umri ulikuwa miaka 29 wachezaji wao tegemezi ni babu Robben na babu Ribery. Nime analyse umri wa kikosi chao cha sasa ni miaka 26 Poleni saan hapo mnawakati mgumu sana.
Full time on aggregate Arsenal 3- Bayern 15
Kwa hiyo atakuja kama mchezaji wa Spuds au Bayana?Naangalia takwimu hapa inaonesha Kane akicheza na Arsenal huwa anakuwa na rating ya 10/10 kwenye game zote anazocheza.
Hiki kikosi labda wachezaji 3 tu in their prime ndo wanaweza kucheza kwny hiki kikosi cha Sasa...Ozil, Sanchez na Xhaka...Hawa wengine walobaki hata benchi hawakai
Sio kwa ubaya, ila kama mtu ana matokea ya mwisho wakati kondoo wanacheza na Bayern ayatume tuyaone.