Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Mkulima, vp shwar?, naona mnatakata toka pande zile...vp tena Torres kashakuwa Joe Barton?
yule refa ****, anapenda sana kutoa red cards! ile ilikuwa yellow card.
Mkulima, vp shwar?, naona mnatakata toka pande zile...vp tena Torres kashakuwa Joe Barton?
Asenali wakishinda kama goli tatu au nne nitafurahi zaidi. lakini cha muhimu ushindi. . Au mnasemaje washika bunduki?
yule refa ****, anapenda sana kutoa red cards! ile ilikuwa yellow card.
Peasant said:..........watashindwaje kufunga wakati Bolton wako 10 tu!
Walcot vipi?
watashindwaje kufunga wakati Bolton wako 10 tu!
Mkuu Ina maana yule refa ni colour blind. teh teh teh . Au unaweka ushabiki mbele? kama unajua kanuni unataiwa kuelewa asio mfanya kosa alikuwa
Tupunguze ushabiki wa timu jamani. Tuwe washabiki wa soka kwanza then timu baadaye.
- Ni mtu wa mwisho
- iikuwa goal scoring opprtunity.
haya bana Peasant But kuw 10 Vs 11 sio licence ya draw. Kuna mchezaji 1ja amenunuliwa kwa £50 Million yuko timu kubwa kacheza mechi kama 16 bila hata kufunga goli. Inawezekana na na hii timu yetu ina tatizo hilo. Nadhani unamjua mchezaji mwenyewe
Kweli kabisa...Walcott mie namshauli arudi kwenye riadha.
Dah!! Leo hapa kulikuwa na magoli mengi.