Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lineups zimetoka.

Ya Sheffield inaonyesha wazi lengo ni kupaki basi na kutegemea transition na kaunta. In all honesty tunacheza na timu ambayo ina forward dhaifu na hapohapo hawana defence so ni fair hii style wanayocheza.

Arteta, ili kucounter hii kamuweka Kai mbele, halafu kati kamuweka Jorginho. Hapa idea ni Kai awe decoy wakati long balls na thru balls za Jorginho zikutane na wingers.

Wanaokuja humu kuwashangilia the blades ni wanakuja kujifurahisha wakirarajia miujiza na siyo quality superiority ya hivi vikosi viwili.

Biggest loss ya Arsenal mpaka muda huu ni alifungwa goli 2 bila na Westham. Tafuta timu nyingine ambayo hiyo ndiyo biggest loss yake mpaka sasa hivi.
 
Utaamini kama kuna wajinga walikuja hapa wakiamini Arsenal itafungwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…