Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
Una maumivu sana, meza panadolMatakataka ninyi muna timu mbovu sana sema sisi Chelsea Bado form ijakaa sawa . Amini nakumbia tutawabandua hapo hapo Emirates
Dubai mpango mzima kwa sisi wataalam wa ku-win duelsMechi 3 muhimu ndani ya wiki 2 za kupiga watu 5G au zaidi. Sheffield 4/3/24, Brentford 9/3/24 na Porto 12/3/24.
Baada ya hapo ni Mamacita 31/3/24. Tuishie zetu dubai baada ya Porto tukapige tena ile alkasusu kabla ya Mamacita.
Au mnasemaje wana ganaz?
Siku za karibuni, shefield wame improve, kwa hiyo ni kuwa makini. Hawapark bus.Mechi 3 muhimu ndani ya wiki 2 za kupiga watu 5G au zaidi. Sheffield 4/3/24, Brentford 9/3/24 na Porto 12/3/24.
Baada ya hapo ni Mamacita 31/3/24. Tuishie zetu dubai baada ya Porto tukapige tena ile alkasusu kabla ya Mamacita.
Au mnasemaje wana ganaz?
Arteta amesema ni wagumu na anategemea mechi ngumu. Sisi pia tunahitaji points 3 hivyo naamini tutapambana kisawasawa. Itabidi tu tuwapige hatuna jinsi.Siku za karibuni, shefield wame improve, kwa hiyo ni kuwa makini. Hawapark bus.
Kwa hiyo umesahau kwamba nyie kuku mlitutoa? 😀😀😀Hivi mbona midweek game za FA hamjacheza aisee shida nini
Kwa hiyo umesahau kwamba nyie kuku mlitutoa?
Kwa afya ya akili yako mkuu, ondoka kwa hao makuku njoo kwa washika mitutu usizeeke vibaya
🤣🤣🤣 Sasa hapo nani anaezeeka vibaya? Yaani mtu ambae timu yake imekutoa kwenye mashindano unataka ahamie kwenye timu mbovu iliyotolewa.Kwa hiyo umesahau kwamba nyie kuku mlitutoa? 😀😀😀
Kwa afya ya akili yako mkuu, ondoka kwa hao makuku njoo kwa washika mitutu usizeeke vibaya 😀😀
Yeye ndiye aliyesahau jambo kubwa maishani mwake. Jambo kubwa la liverpool kututoa kibahati bahati. Sasa hiyo ni ishara kuwa jamaa anazeeka vibaya.🤣🤣🤣 Sasa hapo nani anaezeeka vibaya? Yaani mtu ambae timu yake imekutoa kwenye mashindano unataka ahamie kwenye timu mbovu iliyotolewa.
Oyaaa Henry 14 jumapili tunaenda kudhalilika ujue? Kama vipi tuazimeni basi Gabriel Magalasa na William Salima walau hata tuambulie draw.
Baada ya mechi ya Porto tutakuwa na wiki tatu za mapumziko...mechi ya Chelsea imepelekwa mbele...ni muda mzuri sana wa kuwa na wachezaji wetu wte wakiwa fiti...Mwaka jana Odegaard alichaguliwa kuwa London Premier League Player of the year.
Mwaka huu ni Declan Rice.
View attachment 2920930
Wazito wa jiji, ze ganaz.
Litakuwa ni ajabu la nane la Dunia kama Manunu wataambulia hata sare pale Etihad🤠🤠...Yeye ndiye aliyesahau jambo kubwa maishani mwake. Jambo kubwa la liverpool kututoa kibahati bahati. Sasa hiyo ni ishara kuwa jamaa anazeeka vibaya.
Kuhusu mabeki wetu, nyie mna Omama na Halima Gwaya. Wanatosha kabisa kuwadhibiti mamacita. Mshindwe wenyewe tu.
Hawa ndo wazuri kucheza nao maana hawakai nyuma na wataacha matobo🤠🤠...wakikaa vbaya wasije wakatulaumu...maana sikuhzi tukishadumbukiza mpira nyavuni ndo tunakuwa tunawehuka zaidi na kuja msobemsobeSiku za karibuni, shefield wame improve, kwa hiyo ni kuwa makini. Hawapark bus.
Timu kubwa hazigombanii kombe la mbuziHivi mbona midweek game za FA hamjacheza aisee shida nini
Olashoga mama la mama.Matakataka ninyi muna timu mbovu sana sema sisi Chelsea Bado form ijakaa sawa . Amini nakumbia tutawabandua hapo hapo Emirates
Mbeleko ipi mkuu?Hizi mbeleko zitakuja kufeli.
Soon shortcomings zao zitacatch up