Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mahesabu yameenda hovyo dozi tunatoa kidogo

Ilibidi Partey, Timber, ST na RW wangekuepo balaa lingekua zaidi
Hao waache kwanza ,tunataka mech za mwisho tuwe full squad

Hao mm kwasasa sitaki kuwaona

Nataka awepo Zinny, Jorginho ,wanatosha Kwa mwez huu

Nimeona Arteta anasema Partey atakuwepo vs Porto Jumatano
 
Ahsanteni majirani Kwa kutushukuru ,leo tumewarahishia kazi ya kubeba ndoo ,mshindwe ninyi kumng'oa Liverpool kileleni ,yule city kimbelembele tumepunguza upepo leo

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Tuwashukuru kwa lipi...Kila mtu apambane na matatizo yake...hamjatusaidia...mmejisaidia wenyewe...tukikutana na nyie kono la nyani lipo palepale...msijidanganye na matokeo ya jana
 


Inaonekana Kule Dubai, tende, alkasusu na alua vijana walizipiga vizuri
 
Tako bila sura ni uvimbe tu.
5:0 bila ndoo, ni ushenzi tu
Mnateseka mkiwa pande zipi ndugu zetu🤣🤣🤣....sisi tunacheza kama tulivyofundishwa na tactician....amesema Kila mkifunga goli mchukulie kama mmefungwa goli nyny kwhyo mzidishe mashambulizi kusawazisha goli...ndo haya yanayotokea....hawapendi kupigwa kono la nyani ila hakuna namna sasa
 
One day watu watasema KDB anaingia ×4 kwa Odegard.
Sioni kitu (KDB) alichomzidi Odegard
Hapa unakosea sana tumuache Odegaard aendelee kujijenga fans watampa presha za kujicompare na KDB mwisho atadrop let's wait for the coming 3 years Odegaard Saka Martinelli watakuwa wachezaji wenye profile za kidunia na hasa wakibeba Big trophies
KDB kashaonesha yeye ni nani katika football msaada wake kwa Manchester City umewapa club trophies
duniani ambazo zinatakiwa kubebwa na players
 
Nimesema one day (huko mbeleni), na hasa ukizingatia umri wake.
Sasa hivi watu watabisha kwasababu hatuna makombe, ila timu ikianza kuchukua makombe makubwamakubwa, watu watakuja kuweka huo mjadala kama walivyo mlinganisha KDB na Zidane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…