arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Kombe ambalo sina ni UEFA tu....kombe la chai kwli sina maana sijawahi kushiriki Hilo kombe🤠🤠...natamani turudie tena mechi na nyny maana ile mnasema tuliwaotea ndugu zetuEndelea kujilinganisha na sisi wakati huna kikombe hata Cha chai halafu unaona tuko sawa
Kombe ambalo sina ni UEFA tu....kombe la chai kwli sina maana sijawahi kushiriki Hilo kombe🤠🤠...natamani turudie tena mechi na nyny maana ile mnasema tuliwaotea ndugu zetu
Na bado ntapiga domo halafu baadaye mikono mitupu mnatoka.Kombe ambalo sina ni UEFA tu....kombe la chai kwli sina maana sijawahi kushiriki Hilo kombe🤠🤠...natamani turudie tena mechi na nyny maana ile mnasema tuliwaotea ndugu zetu
Msimu ujao tunakuja kuwabonda palepale kibarazani kwny...Klopp amestukia hili akaona ajiondokee zake asije akachafuliwa record yake...hyo kocha mnayemleta namuomea huruma kwakwli 🤠🤠🤠Na bado ntapiga domo halafu baadaye mikono mitupu mnatoka.
Saka hadi atakuja kustaafu atasikia tu redioni namna gani ushindi wa arsenal pale Anfield unafananiaje .
Kocha wetu anaitwa Arteta mtu kazi kiboko ya Klopp🤠🤠🤠...hyo miwigi kubond ni kocha wa wapi...simjui labda utufahamisheToka amefika miwigi kubond amewapa kombe gani la maana?
Wasindikizaji FC
Labda madrid castillaArsenal hii hata Madrid hachomoki
Kuna forward ya Madrid ya kutoboa huu ukuta?Arsenal hii hata Madrid hachomoki
Allison nje miezi 2Naona mpo kupeana matumaini hewa
Baadaye mtakuja hapa mikono mitupu
Mwisho wa mwez huuTimber lini atarudi wazee?
View attachment 2906061
Na tayari Allison Beker nje miezi 2 na inaweza kwenda hata mitatu kabisaBrentford inabid amkazie liverkuku kesho mapema
Sasa kipa unaumia miezi yte hyo unatafuta nn🤠🤠🤠...hizi ni sababu watakuja kuzitumia wakishatoka kapa kwmba kipa letu la Dunia halikuwepo ndo maana tumetoka patupuNa tayari Allison Beker nje miezi 2 na inaweza kwenda hata mitatu kabisa
Taarifa zaid kesho
Hawa kuku ni swala la muda tu wanatoka hapo juuView attachment 2906381
Van Dijk naye akipata pancha tu....tunafunga mahesabu ya msimu tenaSasa kipa unaumia miezi yte hyo unatafuta nn🤠🤠🤠...hizi ni sababu watakuja kuzitumia wakishatoka kapa kwmba kipa letu la Dunia halikuwepo ndo maana tumetoka patupu
Huyo Allison unayemnadi ndiye aliyewazawadia magoli ya bure na nyie mkaonekana watu katika watu.Allison nje miezi 2
Wewe endelea kupiga baikoko humu
NOTE: Pale Emirates hamkupata hata ON TARGET MOJA
View attachment 2906379
Timu toka aje mawigi kubond haina kikombe chochote Cha maanaNa tayari Allison Beker nje miezi 2 na inaweza kwenda hata mitatu kabisa
Taarifa zaid kesho
Hawa kuku ni swala la muda tu wanatoka hapo juuView attachment 2906381
Mnaodiscuss hayo ni nyie ArseniwaliSasa kipa unaumia miezi yte hyo unatafuta nn🤠🤠🤠...hizi ni sababu watakuja kuzitumia wakishatoka kapa kwmba kipa letu la Dunia halikuwepo ndo maana tumetoka patupu
Yaani rudini tu hata wote ili baadaye mtakapotoka mikono myeupe mkose vizingizioTimber lini atarudi wazee?
View attachment 2906061
Naona umeamua kuweka na hisabati kabisa hapo ili Manyumbu watakaotembelea huu uzi wajue umepataje miaka 20.uzuri wa ASENYO domo wanapiga wao kombe wanabeba wengine.
Nawakumbusha mna miaka 20 (2024-2004=20) hamjagusa kombe lolote kubwa narudia tena Lolote lile.
sasa Miaka 20 Umri wa mtu mzima alieanza kudondosha sabuni bafuni kisa nyeto.
😁manyumbu pia yana muda alooh! Kwasasa Arsenal itaanza kuchukua EPL kabla ya NYUMBUNaona umeamua kuweka na hisabati kabisa hapo ili Manyumbu watakaotembelea huu uzi wajue umepataje miaka 20.
Miaka 20 kwenye mpira tumejifunza si mingi. Kimzaha mzaha tu unashangaa imefika na wadau watapiga domo balaa kuwakumbusha. Manyumbu wana hatari ya kujikuta na hali hii wasipojirekebisha.
Sisi katika hicho kipindi tumeambulia FA cup na kukosa kosa Champions league. Manyumbu wana carabao cups za kuzugia.