Kwamba hata option ya mkopo haikuepo?Nadhani hatukuwa na mkwanja. Huenda tungemchukua Ivan Toney kama tungeweza bila kukiuka FFP.
Yeye na Edu wakija kumaster haswa usajili basi makombe yatakuja kwa wepesihamis77 hebu tusaidie sisi #artetaout.
Hivi kwenye ligi hii kuna manager mwingine ambaye amekuwa head coach au manager kwa mara ya kwanza kama Arteta? Yaani hajatoka kuwa manager wa timu nyingine kabla?
Nikitafakari naanza kuona kama jamaa ana potential. Kakaa chini ya miaka minne na Pep kama msaidizi. Sasa anakaribia miaka mitano Arsenal, na katika hiyo mitano, ametumia mitatu kupambana tusishuke daraja, kurudi top 4 na sasa inaonekana kama miaka miwili anapambania ubingwa. Si haba.
Ukiangalia wahasimu wake wakuu ni Pep na Klopp, wanaosemekana bila shaka kuwa makocha bora duniani, walioingia kwenye timu zao za sasa wakitoka kupata mafanikio timu kubwa tu kabla ya Man City na Liverpool.
Je Arteta aendelee kupewa muda? Je unadhani Arteta anaweza kweli kutwaa ubingwa?
#artetaout namaanisha wale ambao hawajatpsheka na mchango wake, hata kama siyo afukuzwe. Wale ambao tunataka tisini lakini tunaona kama jamaa anatupa hamsini tu...Mkuu hapa hii #arteta out utakuwa unalazimisha utukanwe TU.
Yani Arteta hajafukuzwa enzi zile anafungwa karibu mechi 8 mfululizo, ndo afukuzwe sahivi kipindi ambacho mtu yeyote mwenye akili timamu anaiona kabisa direction ya mafanikio.
Arteta hakuna kuondoka hadi azeeke, kwanza legend wetu
Kimbinu yuko poa ila watu hawatoshi? Tena na majeruhi kwa wachezaji muhimu? Unaona kama ana mbinu za kutosha?Yeye na Edu wakija kumaster haswa usajili basi makombe yatakuja kwa wepesi
Arteta Hadi sasahivi kama kocha kazi yake kaifanikisha kwa asilimia kubwa tu.#artetaout namaanisha wale ambao hawajatpsheka na mchango wake, hata kama siyo afukuzwe. Wale ambao tunataka tisini lakini tunaona kama jamaa anatupa hamsini tu...
Kwa kweli sikumbuki mechi nayoweza kusema tulikuwa dominated. Nadhani mechi niliyoona ilitusumbua ni ile ya Spurs maana walikuwa wanapita press yetu kama hatuwakabi vile. Niliona kama ile mechi tulitakiwa kufungwa ila tulipata sare.Arteta Hadi sasahivi kama kocha kazi yake kaifanikisha kwa asilimia kubwa tu.
Arsenal ikicheza unaona kabisa hii timu inacheza kimahesabu na structure, tofauti na kama mahirani zetu wa untumbuni.
Ukiangalia hata mechi tunazopoteza, tunapoteza kwasababu wachezaji wetu hawatumii nafasi. Nitajie mechi mbili za haraka haraka ambazo mpinzani ametu dominate / outplay.
Tofautisheni ubovu wa kocha na ubovu wa wachezaji
Kimbinu yupo sawa ila watu hawatoshi.Kimbinu yuko poa ila watu hawatoshi? Tena na majeruhi kwa wachezaji muhimu? Unaona kama ana mbinu za kutosha?
Hawezi kukomaa na training ya finishing na long shots? Tunazagaa sana nje ya box la mpinzani. Tunakuwa na wachezaji 4 sometimes nje ya box lakini hawapigi. Kwa nini wasiboreshe upigaji mazoezini? Ingawa hata Wenger alikuwa hapendi shots za mbali kwa sababu kitakwimu matokeo yake hayakuwa mazuriKimbinu yupo sawa ila watu hawatoshi.
Hata dhidi ya timu zinazopaki basi bado Arsenal tunatengeneza chances. Hatuna ST na hatuna long shot merchant
Sio kama umechanganya mechi ya spurs na Chelsea!!?? Mechi ya spurs tulikuwa tunachomolewa kwa makosa binafsi ya wachezaji ikiwemo kosa la joginho kutoa boko. Ila mechi ya Chelsea ndo kila mtu alijua hatutoki hiyo gem maana Chelsea alitushika sana na wakatutangulia kwa goli mbiliKwa kweli sikumbuki mechi nayoweza kusema tulikuwa dominated. Nadhani mechi niliyoona ilitusumbua ni ile ya Spurs maana walikuwa wanapita press yetu kama hatuwakabi vile. Niliona kama ile mechi tulitakiwa kufungwa ila tulipata sare.
Ya Chelsea sikuiangalia. Namaanisha hivyo hivyo ya spurs kama nilivyosema.Sio kama umechanganya mechi ya spurs na Chelsea!!?? Mechi ya spurs tulikuwa tunachomolewa kwa makosa binafsi ya wachezaji ikiwemo kosa la joginho kutoa boko. Ila mechi ya Chelsea ndo kila mtu alijua hatutoki hiyo gem maana Chelsea alitushika sana na wakatutangulia kwa goli mbili
Kumbe ,unacheza na city yenye midfield ya kovasic na lewis unashinda goli moja tena dakika za mwisho ,nafikiri etihad utaiona show ,tena hao watu wasiwe juu ya table wanakuwa wakatili kwenye mechi za kuongeza gape kama hizi.Msimu huu wale big six sijui big four hakuna aliyetufunga Arteta amejua kuzicheza hizo mechi.
Sio rahisi kama ulivyosema.
Kaa kwa kutulia, city tunampigia pale pale EtihadKumbe ,unacheza na city yenye midfield ya kovasic na lewis unashinda goli moja tena dakika za mwisho ,nafikiri etihad utaiona show ,tena hao watu wasiwe juu ya table wanakuwa wakatili kwenye mechi za kuongeza gape kama hizi.
Basi ya Chelsea ndo tulishikwa vibaya mno ila ngekewa tu ndo ilitupa sareYa Chelsea sikuiangalia. Namaanisha hivyo hivyo ya spurs kama nilivyosema.
Wewe ni mjinga , kwani yeye anaponifunga anakutanaga na Arsenal ipi?Kumbe ,unacheza na city yenye midfield ya kovasic na lewis unashinda goli moja tena dakika za mwisho ,nafikiri etihad utaiona show ,tena hao watu wasiwe juu ya table wanakuwa wakatili kwenye mechi za kuongeza gape kama hizi.
Kama unamuondoa Arteta kwasasa ,kocha pekee anayeweza kufanya hiki kwasasa au zaidi basi ni Pep GuardiolaArteta Hadi sasahivi kama kocha kazi yake kaifanikisha kwa asilimia kubwa tu.
Arsenal ikicheza unaona kabisa hii timu inacheza kimahesabu na structure, tofauti na kama mahirani zetu wa untumbuni.
Ukiangalia hata mechi tunazopoteza, tunapoteza kwasababu wachezaji wetu hawatumii nafasi. Nitajie mechi mbili za haraka haraka ambazo mpinzani ametu dominate / outplay.
Tofautisheni ubovu wa kocha na ubovu wa wachezaji
Yeye na Edu wakija kumaster haswa usajili basi makombe yatakuja kwa wepesi
Mlikuwa mmemzoea mzee Wenger....mlikuwa mkiipiga Arsenal mnashangilia mpaka mnaruka nje ya kiwanja,mkabatiza mpaka jina la specialist in failure.....hamkunyanyua midomo yenu kukemea mlikaa kimya mkichekelea kebehi zote Arsenal walizopewa.........kumbe mzee alikuw anampika kijana wake...sasa amepumzika,ametua kijana wake,anagawa dozi,tunakera sanaaa.....leo hii ndio mtajua kwamba kuimba kupokezana.....tutashangilia tunavyotaka nyie mlidhani tulikuwa tunapenda zile dharau na kebehi zenu eeeh...kaeni kwa kutulia dawa iwaingie!
My feeling,tunaenda kuchukua point 3 pale pale Kwa city
Tusipochukua points 3 pale Etihad, niulizwe Mimi
Nyumbu na Kenge tutawafanyia udhalilishaji
Hongera sana ndugu yangu Lukub inaonekana wewe ni miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal ambao hawaendeshwi na mihemko ya ki false hopes.Ndugu kuifunga city yenye Rodri ni NGUMU kulingana na takwimu,ukimuongeza KDB na fit Halland inakuwa NGUMU ZAIDI.kipara akiingia mechi hiyo yuko juu ya table ni NGUMU KULIKO