Huyu goigoi Havertz mmempa nini siku mbili tatu hizi ?| Mikel Arteta on whether Kai Havertz is now putting in the performances he expected:
“In terms of goals, yes. In terms of performances, it’s exactly the same as he was at the start of the season.
“You can see he’s confident and enjoying his football.” [@BBCSport] #afcView attachment 2845349
Huyu kiazi alipokuwa pale kwetu Stamford Bridge ,hata kuhold mpira alikuwa hajui ,KAPOTEZA PASS MOJA TU KING KAI
Kai Havertz’s game by numbers vs. Brighton:
97% pass accuracy
41 touches
29/30 passes completed
4 ball recoveries
2 duels won
1 goal
Sealed the win.View attachment 2845345
Sisi haoMan u kashikilia bomba..
Nimejisikia vibaya sijaona game yetu dhidi ya Brighton
Kwa ufupi ni kwmba leo hakukuwa na Mitoma Wala Mitimi🤠🤠🤠...tulivipiga Pini vile vitoto mpk vikawa vinaomba mpira uisheMan u kashikilia bomba..
Nimejisikia vibaya sijaona game yetu dhidi ya Brighton
eti masebebeneAntony Masebene ana magoli mangapi? Tangu aje EPL
nasGabriel Jesus kuhusu Kai Havertz baada ya ushindi wa #Arsenal dhidi ya Brighton leo:
"Kai ni mchezaji wa kustaajabisha, jinsi anavyocheza, ana nguvu nyingi, mrefu, halafu ubora wake ... anatusaidia sana.
Anapambana kila wakati na kusaidia timu, jinsi mtu huyu anavyokimbia
tunafurahi sana kuwa naye."View attachment 2845357
tunamsubiri kwa hamu tuone atacomment nini leoUkimuona Saint Anne inavyokua busy na matokeo yetu utafikiri ya kwake anayajua vile.
Yani anajitekenya halafu anacheka mwenyewe!
alipofika ndo panamfaa sasa.university of footballHuyu kiazi alipokuwa pale kwetu Stamford Bridge ,hata kuhold mpira alikuwa hajui ,
Tukiwaambia ligi tunaanza January wanaona utani. Hapa sisi tunapasha pasha tuu. Ligi inaanza rasmi akina Octopus wakirudiWale waliosema Kufikia December tutakuwa tumetoka Top 4 waje waseme Hapa ni Wapi
View attachment 2845411
Hawa jamaa wanaichukulia Poa Arsenal yetu.Tukiwaambia ligi tunaanza January wanaona utani. Hapa sisi tunapasha pasha tuu. Ligi inaanza rasmi akina Octopus wakirudi
Ana mdomo sana yule dada🤠🤠🤠....vurugu nyiiingii halafu wanamtegemea Salah...siku akiamka vbaya wanakuwa wanazurura....Liver ukiwazuia kwny Counter attack wanakuwa hawana tofauti na Gwambina tunas
tunamsubiri kwa hamu tuone atacomment nini leo
Hiyo mijamaa tuwe nayo karibu sana, huenda tukaikosa baada ya kukabidhiwa ndoo ya EPL na/au UCL kwa chuki zao. Hawachelewi kufanya maamuzi magumu, kisa tu kuiona Gunners inafanya vizuri. Wamebaki kupika ramli tu sasa hivi.Hawa jamaa wanaichukulia Poa Arsenal yetu.
Mdogo mdogo tunakusanya Points, wakija kutahamaki watakuta tuna alama 90 huko
Watu walikuwa wanatoa maneno machafu sana hmu juu ya Kai ila wengine tukawa tunamtetea....inasikitisha kuona baadhi ya mashabiki wanabebwa na upepo wa kejeli za mashabiki wengine.... Mashabiki wa Chelkenge wanaomba sana jamaa afeli pale kwetu ila ndo hvyo Sasa pale amekutana na watu wanaocheza bolu kwlikwli...sio kama Chelsea kule wao wanachojua ni kukimbiakimbia tu....wakiipata wanambutuliaa mbele kwa Jackson mimbio au Mudryk 🤠🤠🤠...halafu wao ndo wajue nn cha kufanya kama kubutua nje au kuporwa....Inasikitisha sanaNilishawai andika humu humu
"namuona ozil kwenye miguu ya Kai"
Niliishia kutukanwa na kebei za hapa na pale
Huyu kiazi alipokuwa pale kwetu Stamford Bridge ,hata kuhold mpira alikuwa hajui ,
Hahahaha..........kuna mdau humu, alishauri Mashabiki wa Arsenal tuwe tunatembea kwa Makundi kuogopa kufanyiwa fujo na hawa Jamaa ikishindikana kuomba Ulinzi wa Polisi kwa IGP kabisa 😅Hiyo mijamaa tuwe nayo karibu sana, huenda tukaikosa baada ya kukabidhiwa ndoo ya EPL na/au UCL kwa chuki zao. Hawachelewi kufanya maamuzi magumu, kisa tu kuiona Gunners inafanya vizuri. Wamebaki kupika ramli tu sasa hivi.