Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Taarifa ni kwamba Hitimisho la FA kuhusu comment ya Mikel Arteta kwa waamuzi kwenye mechi yetu dhidi ya Newcastle lipo mbioni kutolewa. Na tetesi ni kwamba wanavizia ili mechi yetu dhidi ya Liverpool asiwepo kwenye touchline.
Kama hawataki tubebe kombe lao, walipeleke guantanamo likalindwe huko.
Sio kuleteana figisu figisu.
 
Umenikumbusha nilikua naangalia game yenu na aston villa sasa pembeni yangu alikaa false hoper mmoja analalamika jesus hana makali yoyote nikamuuliza si mna sub aingie nan? Akaanza kuongelea mambo ya osimhenπŸ˜‚πŸ˜‚ nikamwambia huyo mchezaji wa napoli tusubiri Nketiah ataingia , akaanza ooh hela ya kai na balogun si inatosha kumnunua osimhen, nikaona yale yale ya false hopesπŸ˜‚

Swala la bei ya wachezaji sikuleta mimi ni castr kaleta kutudanganya kuwa saka akiuzwa atauzwa 120M ndo nikauliza kwa nia njema tu β€œ Arsenal wamepita kina henry, anelka, fabregas, van persie na wengine wengi je waliuzwa kwa bei inayazidi hata bei ya gordon tu 45M ? Tusikimbilie 120 wakati hata 50 hamjawahi kufika toka arsenal inaanzishwa.
 
game nzuri.. sijaona arsenal ilipoharibu mpk sasa ila kuna improvement kubwa kwa kai ;taratibu kashaelewa flow ya mpira na namna timu inavocheza.. awe wapi na kwa wakati gani.
 
Wanatuandama sana wale wapuuzi. Ila ndiyo maisha yetu EPL na wengine hawawezi kuelewa. Tunalazimika kuruka pale wengine wanapoendesha, na kukimbia pale wengine wanapotembea.
Hakuna anayekuandama haya ndo matokeo halisi ya false hope, game na PSG vs Newcastle penalty ya psg ilikua ya mchongo lakini ulimsikiliza eddie howe alivyoelezea kitasha zaidi kulaumu waamuzi na VAR , arteta yeye analopoka tu wakati ni goal halali review zimefanyika zaidi ya 3 na still ikawa halali.

Arteta nae kashawajulia nyinyi ni false hopers so anazidi kuwajaza false hopes kondoo zake.
 
Kwa hiki kikosi ata nyumbu anakalishwa vizuri tu

Nelson anaupiga mwingi
 
pamoja na njama ovu dhidi yetu, sisi tutaendelea kupambana na kusonga mbele
 
Hii game ya leo hicho kikosi siyo cha ushindi na kimemanage kuscore
 
Nyukesto akimfunga ac milan halafu dortmund akimfunga psg kumbe anaendelea mbele πŸ˜…
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ njama ovu zitoke wapi ? Arsenal ndo timu yakufanyiwa njama kweli? Wachezaji wanajindondosha ovyo halafu mnataka foul au tuta! .
Nyie nendeni kwenye draft labda mtaweza kidogo .
Wewe huwezi kukubali
 
Hii timu kubwa sana.
Juzi tu game na aston villa lineup ilitoka ukaanza lalamika sub ipo very weak . Nikakuambia siku si nyingi utasahau haya maneno yako utakuja na false hope nyingine.
Unacheza na PSV tayari unaona timu yako ni kubwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ lakini mkicheza na watu wa maana malalamiko yanaanza . ONCE A FALSE HOPER ALWAYS A FALSE HOPER.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…