Muache kidomodomo ,ligi ya epl ni ngumu sana sasa hivi
Sio farmers league hii kama enzi zile za Ferguson mpaka mnatabiri nani bingwa
We huoni mpaka Luton kakaza huko ?
Kila mechi ya epl sasa hivi ni kama fainali ya UEFA vile , kila mtu kaota sharubu
Hutakiwi kumdharau opponent hata kidogo
Ushindi sasa hivi ni mpaka ubane kalio haswaa , si wenyewe tushanyukwa huko na Everton na hii mechi naona kabisa hamna kutoboa jinsi hawa madogo wanavyoruka ruka kama ngedere humo uwanjani
Sana ,ni moja kati ya timu zilizoperform vizuri sana msimu so far
Surprise package .
Na wanaubonda haswa , ni moja kati ya timu ambazo ukikutana nao lazima ujipange la sivyo wanakubonda