Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vikojozi asenyeto mmekuwa na kidomo domo sana baada ya ushindi wa papatu papatu mechi mbili tatu hivi zilizopita ,nawakumbusha tu hii ni Epl
Take care ,ninyi ni wasindikizaji tu
Msijipe umiliki wa title ambao hamna
Nyumbu kula chuma hichoo🤣😂😆
 
Hii mid ya Arsenal ndio huwa tunaambiwa inatisha. Ptuu ukikuta inapambwa humu unaweza hisi ile mids ya AC milan ya 2006 au ile mids ya Barcelona ya 2009-2013
 
Kamekimbia , huwa vinatabia ya kujificha ,vinavizia mpaka vibahatishe ndio utabiona humu vimelundikana kama nyigu na statistics ushuzi
@Hamis 77 tokeni huko kwenye mashimo mlimojificha
,
Njooni mfundishwe jinsi ya kucheza mpira leo Villa park
 
Game zenye pressure hasa ambazo huwa tunahitaji ushindi kujiweka kwenye nafasi nzuri huwa zinatusumbua sana.. Hii game Arsenal wangecheza kabla ya mechi ya Liverpool huenda wangepunguza pressure na wange-relax kuliko hivi sasa. Na hili ni tatizo kubwa sana ambalo Arsenal wasipoweza kulitatua litagharimu sana nafasi ya kuweza kutwaa ubingwa. Ilitokea msimu uliopita na ninaona linaenda kutokea msimu huu. Dakika bado za kutosha, tuone kitatokea nini.

Sent from my CLT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…