Unae midfielder, lakini unampanga stones na akanjiArsenal wapo Makin Sana hawawezi kusajili mchezaji Kama huyu ,Pep alipigwa hapo amefikia hatua anamchezesha Stones na Akanji midfield,huyu hampi hata dakika 1
Arsenal inalenga wachezaji wapambanaji ,na wasio injury prone ,wakija wanaingia kwa timu moja kwa moja
Palhinha,Luiz ,n.k
Unajua mtu ukishakua mpumbavu ni ngumu Sana kusaidiwaAnamuweka sentence moja Saka na Gordon
Huyo Mwehu kabisa
NimekuelewaKinachowauma watu wengi Arsenal imerejea kwenye Fluidity ya kutengeneza nafasi na kila mmoja anafunga
Baada ya Ødegaard kuambiwa acheze chini amuachie Uhuru saka
Sababu Saka ana Gene za attacking Midfielder na Ødegaard Ni attacking Midfielder,so hawatakiwi kucheza karibu karibu Sana ,ili Saka apate Uhuru na space
Mechi mbili zilizopita Ødegaard ka create chances nyingi kuliko mech 10 za mwisho ,View attachment 2837242
Analinganisha Gordon na saka, dogo atakua mlevi yuleBukayo Saka msimu uliopita alikuwa na G/A 24 iliyopelekea Hadi aingie kwenye nominees za Ballin Dor ,alikuwa na msimu Bora
Msimu huu Hadi Sasa ana G/A 19 na ndio December
Msimu huu anaweza kufika G/A50View attachment 2837247
Hicho ndo mm Kila siku nakililia ndo maana Partey majeraha yake yanatuangusha sana....angekuwepo yy na Rice pale dimbani halafu nyuma yupo bwana mdo Timber na wale wahuni wengine....hakyanani...mechi zingekuwa zinaisha kwa timu pinzani kuwa na ball possession ya 10%...Arteta: "More than control, I want dominance. Dominance in the right area and not allowing the opponent to breathe. This is what we do. Control in certain areas of the pitch, I'm not interested at all in that, because we can get in trouble by trying to do that.
[@SkySportsNews]
Yan katika kitu mnakosea ni kumjibu huyu mtu na hiki ndo anaona litimu lake ni likubwa ..hakuna haja ya kumjibu mwacheni aongee tu pumba zake siku tukiona timu yake ina quality ya kujibiwa basi tutamjbu ila kumjibu sasa hiv ni kupoteza mda tu ...mara kumi tujibishane na shabiki wa Aston villa kuliko huyu mamlukiHyu anajitutumua lakini ndani ya nafsi yake anajua kikundi alichochagua kumtoa mawazo kinamzidishia depression....kuna mechi hdi Trippier akawa anataka kwnda kuzichapa na mashabiki kisa wanaulizwa kwnn hamchezi vzuri tena dhidi ya kitimu kama Bournemouth
Arsenal ikiamua kumuuza Saka January tutamuuza kwa 120M.
Gordon mtamuuza kwa shilingi ngapi?
Mshakaji ndo maana humu ndani walikupiga marufuku hata kuwaquote. Huwa unakuja na data kamili. Uzuri wake unawajua hawa false hopes f.c nje ndani.Nakupa na hii ambayo huijuiii tuchukue statistics za misimu 4 iliyopita kati ya jesus na wilson uone mwenywe tu View attachment 2836994
View attachment 2836995
View attachment 2836996
View attachment 2836997
Usilete comparison za players utaumia sana au unaona man city kumuuza jesus walikosea ? Wanajua kabisa hamna kazi pale .
Mchezaji kazidiwa magoli zaidi ya misimu 4 halafu unataka tulete comparisonhuyo jesus kwenu ndo main striker huku Newcastle wilson ni backup striker
Waue waue. Hapo kwenye data hapo mkuu ndo hawapendi kabisa kusikia. Waoige za tumboni, uso uache.ushawahii kuuza mchezaji kwa hata 60M tu toka arsenal imeanzishwa? Mlipigwa kwa pepe kwa 72M then mnamuuza kwa 1.5 m . Unajipa false hopes eti saka ni 120M
Gordon kauzwa kutoka everton 45 M sasa unategemea tukiuza tutauza hela ya chini kama nyinyi ?
Hio 45M hakuna mchezaji ameshawahi kuuzwa hela kubwa arsenal kuzidi hela aliyeuzwa gordon kutoka everton nakupa hiii nyingine pia najua ulikua hujuii wacha nikujuze sasa.
Unaposema unauza kwa bei kubwa tuambie toka arsenal imeanzishwa nan aliuzwa kwenda timu nyingine hela iliyozidi 45M , ukionyesha nakupa milion 1 sasa hivi hapa.
Tuliambia ramsdale ana thamani ya shingapi vile?kina holding, pepe, takuma, wachezaji wa paundi moja moja.
ushawahii kuuza mchezaji kwa hata 60M tu toka arsenal imeanzishwa? Mlipigwa kwa pepe kwa 72M then mnamuuza kwa 1.5 m . Unajipa false hopes eti saka ni 120M
Gordon kauzwa kutoka everton 45 M sasa unategemea tukiuza tutauza hela ya chini kama nyinyi ?
Hio 45M hakuna mchezaji ameshawahi kuuzwa hela kubwa arsenal kuzidi hela aliyeuzwa gordon kutoka everton nakupa hiii nyingine pia najua ulikua hujuii wacha nikujuze sasa.
Unaposema unauza kwa bei kubwa tuambie toka arsenal imeanzishwa nan aliuzwa kwenda timu nyingine hela iliyozidi 45M , ukionyesha nakupa milion 1 sasa hivi hapa.
Tuliambia ramsdale ana thamani ya shingapi vile?kina holding, pepe, takuma, wachezaji wa paundi moja moja.
Kwa lipi Sasa shehe🤠🤠...mi binafsi mtu akikasirika kwa sababu ya mtu kuja kujaza nzi hmu nakuwa nastuka kidogo kwa sababu Haina haja ya kukasirika maana pumba huwa zinajitenga na mchele kadri msimu unavyosonga....Sasa hyu Labyrinthitis 84 awe anakuja kutapika tu hmu maana kale kajukwaa Kao ukiwafata utakuwa unawaonea tu maana hawana timu...Wana kikundi kinachopeana morali tu....sisi tutasumbuana na watu wa Manunu...Chelkenge.. Liverfools na Mama Cita sio Nyukesto....na tumawakumbusha ndugu zetu Nyukesto....wikiendi hii Wana Son anawasubiri🤠🤠🤠...tabu Iko palepalemkuu Labyrinth 84 hizi nyau za humu zikionaga comments zako kwanza hua zinasonya kimoyomoyo halafu ndio zinasoma, uwepo wako kwenye hili jukwaa hua ni faraja kubwa sana kwa wale mashabiki wa arsenyau wasiopenda false hopes.
Unajua mtu ukishakua mpumbavu ni ngumu Sana kusaidiwa
Sasa hiyo comparison ya saka na gordon, kwenye aerial duels Nani yupo vizuri?
Katika ya saka na gordon, ukipewa bure unamchukua Nani?
Namvutia Kasi aingie ignore/block
Arsenal ikiamua kumuuza Saka January tutamuuza kwa 120M.
Gordon mtamuuza kwa shilingi ngapi?
Kwa lipi Sasa shehe...mi binafsi mtu akikasirika kwa sababu ya mtu kuja kujaza nzi hmu nakuwa nastuka kidogo kwa sababu Haina haja ya kukasirika maana pumba huwa zinajitenga na mchele kadri msimu unavyosonga....Sasa hyu Labyrinthitis 84 awe anakuja kutapika tu hmu maana kale kajukwaa Kao ukiwafata utakuwa unawaonea tu maana hawana timu...Wana kikundi kinachopeana morali tu....sisi tutasumbuana na watu wa Manunu...Chelkenge.. Liverfools na Mama Cita sio Nyukesto....na tumawakumbusha ndugu zetu Nyukesto....wikiendi hii Wana Son anawasubiri...tabu Iko palepale
Mwaka jana tulipigwa na kitu kizito kwli...mi huwa naukubali ukweli kama ulivyo🤠🤠🤠 siishi kwa denial...ila mwaka huu msahau kabisa hilo kosa kujirudia...ila Hawa Nyukesto sijui yaani tulichokisema mwanzo wa msimu ndo hiki kinachoendelea....tukiwaambia Hawa wanatakiwa wajipqnge kwa misimu walau mitatu hvi...kusajili waleta vurugu uwanjani hakuwezi kukusaidia msimu mzima....na nikasema wakikaa vbaya hata Manunu watakuwa juu Yao na tyri ishatokea....Sasa leo tamko lingine wakikaa vbaya hata conference hawatacheza....maana hawana timu Wana wafanya vurugukweli kabisa ndugu yangu arsenal2004 kua pumba hua zinajitenga na mchele kila muda unavyosonga mbele, nakumbuka hata msimu ulioisha pumba zilichangamana na mchele kwa zaidi ya siku 258, ila mechi 4 kabla ya ligi kuisha pumba zilijitenga zenyewe na ulimwengu mzima tulilishuhudia hilo.
kwa huu msemo wako wa pumba kujitenga na mchele kadri msimu unavyosonga basi kuna mashabiki wenzio wa Arsenyau wasiopenda kusikia ukweli wataanza kukushambulia na kukuita mamluki.
Mwaka jana tulipigwa na kitu kizito kwli...mi huwa naukubali ukweli kama ulivyosiishi kwa denial...ila mwaka huu msahau kabisa hilo kosa kujirudia...ila Hawa Nyukesto sijui yaani tulichokisema mwanzo wa msimu ndo hiki kinachoendelea....tukiwaambia Hawa wanatakiwa wajipqnge kwa misimu walau mitatu hvi...kusajili waleta vurugu uwanjani hakuwezi kukusaidia msimu mzima....na nikasema wakikaa vbaya hata Manunu watakuwa juu Yao na tyri ishatokea....Sasa leo tamko lingine wakikaa vbaya hata conference hawatacheza....maana hawana timu Wana wafanya vurugu
Ile picha unayowalinganisha kaangalie Kama hakuna "aerial duels won"Huyo saka kacheza dakika nyingi kuliko gordon na still kazidiwa magoli , wewe unakuja na comparison za aerial duelsunaelewa hata maana ya aerial duels kwelii gordon hayupo Newcastle for aerials duels hayo mambo anayafanya joelinton huko .
Na wewe ushaanza kupata trauma nini mkuu