Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa Luton mnapigana hivyo,ndio mnaongelea kubeba EPL msimu huu kweli?
 
Natabiri kutatokea ufananisho wa goli lililokataliwa leo kwa City na lililokubaliwa kwa Arsenal
 
Nyumbu na kenge ni clowns wawili wanapigana hawana maana.

Mechi nzuri ni ya Villa na City nahisi City ana uchungu anavyodrop points so anajihami. Hii inawapa Villa control nzuri ya mechi, shida umaliziaji
 
Hii milioni 100 ya Caicedo ina mashaka. Ni bora hatujajaa kwenye mikono ya matapeli!
 
Beating kenge is not for everyone.
Chelsea hii mbovu ndio mlipata shida kuokota point 3 za bure kabisa halafu mnatarajia ubingwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ