Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hio kitu ndio inatufanya hata sisi mashabiki tuanze kumtilia mashaka Baba ubaya (7hag)
Hawa kina Urtuglu mechi ya kwanza pale Trafford mpaka kipindi cha kwanza kinaisha tulikua tunaongoza kwa 2 - 0 kipindi cha pili kwa mpira huo wa kupishana goli 2 zikarudi na wakatufunga kabisa wakaondoka na points 3.
Kwa kilichotokea Old Trafford nilijua 7hag atajifunza tukioenda Uturuki lakini matokeo yake mambo yamejirudia vilevile.
Ila pia ukiangalia hata tukiamua kupaki basi hao wachezaji wa kupaki basi tunao?
 
Ila Kai bhana.. Sawa ana improve ila kuna muda Martinelli alikua akifanya forward runs kipindi Kai akiwa na mpira at the end anachagua kurudi nyuma.

Ni kama hataki ku take risk mana choice of passes zake muda mwingi anachagua safe options. Labda ni ishu ya confidence.. Wacha tuone maendeleo yake kwa game zijazo.
 
Hebu tema mate chini kwanza, yaani Kai ndie wa kumuweka benchi Bruno Fernándes?
Pale Arsenyau hakuna mchezaji yoyote wa kumuweka bench Captain Bruno, hata huyo Martin Ødegaard kwa Bruno lazima asubirie kwanza.
Epl yote mchezaji pekee anaeweza kumuweka bench Bruno ni KDB tu.
 
Kwani kupaki basi si suala la kimfumo zaidi kuliko wachezaji? Baba ubaya yeye awaambie tu wachezaji wajipange hivi, wabutue mipira mbele au kwa Bruno au Garnacho. Wao wapige mashuti wajaribu kubahatisha goli 😁
 
Kwani kupaki basi si suala la kimfumo zaidi kuliko wachezaji? Baba ubaya yeye awaambie tu wachezaji wajipange hivi, wabutue mipira mbele au kwa Bruno au Garnacho. Wao wapige mashuti wajaribu kubahatisha goli
Wachezaji wenyewe ndio hao kina Magwaya?
 
Kwa hii Ze Ganaz Bruno anakaa benchi vizuri tu akiendelea kujifunza kwanza pira biriani. Tukimuanzisha ataleta maujinga aliyofundishwa na baba ubaya huko unyumbuni.
 
Wachezaji wenyewe ndio hao kina Magwaya?
Hao hao kina Magwaya. Tena kipa weka yule wa bench. Maana Omama akiwa golini mpinzani anapaswa kutafuta shot on target tu, mengine Omama mwenyewe anatekeleza.
Ila Omama kiboko aisee. Akiuchoka ukipa anajifanya mido anatoka na kuambulia chop. Akijifanya kipa na kubaki golini nako ndo anageuka kuwa striker kabisa anapiga tap-in golini mwake mwenyewe.
 
Mechi ikishakuwa nje ya mikono yako ujue utaishia kupiga ramli tu, Ingekuwa must win to qualify ningesema rahisi. Kwa case hii 95% wako nje.
 
Mkuu Bruno ni mzuri sana kwny kumtafuta Rashidi Makame....akiipokea anaangalia Makame Yuko wapi anabutua...ila mpira wa utulivu Hana kabisa yule bwana mdgo...yule pale arsenal atasubiri mpk acheze Odegaard atokee aingie Smith Rowe atoke hlfu ndo aingie yy....kitu kingine kizuri kwake anajua sana kulalamika...kwa hlo atatusaidia
 
Mikel Arteta’s preferred front five is probably Kai Havertz, Martin Ødegaard, Bukayo Saka, Gabriel Jesus and Gabriel Martinelli.

They hadn't played a minute together all season before last night.

They scored five goals in their first 45 minutes and there’s so much more to come.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…