Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Hio kitu ndio inatufanya hata sisi mashabiki tuanze kumtilia mashaka Baba ubaya (7hag)Si ndiyo maana yenyewe ya hamkutaka hiyo sasa. Kama jana kwa nini hamkucheza tu game lenu bovu la janjajanja la kupaki basi na kuvizia counter? Mkaanza kujiona eti na nyie mnaweza kama wengine mkaanza kupishana na wale wanaOttoman. Mkawapa confidence, mwishowe mkapoteza points 2.
Hawa kina Urtuglu mechi ya kwanza pale Trafford mpaka kipindi cha kwanza kinaisha tulikua tunaongoza kwa 2 - 0 kipindi cha pili kwa mpira huo wa kupishana goli 2 zikarudi na wakatufunga kabisa wakaondoka na points 3.
Kwa kilichotokea Old Trafford nilijua 7hag atajifunza tukioenda Uturuki lakini matokeo yake mambo yamejirudia vilevile.
Ila pia ukiangalia hata tukiamua kupaki basi hao wachezaji wa kupaki basi tunao?