Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Piga kelele tu lakini mpaka now tumeshakukanda na tumefanya mpaka kocha wako aonekane chizi kila muda anazugumzia VAR
.

Wewe mwenye mpira mzuriii umefika wapi kwa hiyo miaka 20 uliopiga mpira mzuriii? Tumecheza back to back na still kila game kuna injuries tena za watu muhimu kabisa .

Tuko comfortable maana tunaelewa kwanini tumepoteza game ya jana , hatujapoteza game kisa mpira wa kurukaruka tumepoteza game na tunajua imetokea kwasababu ya injuries na si kitu kingine kwamba tuna mpira sijuiii wakurukaruka, huo mpira wakurukaruka ndo ulikufanya uwe na shot on target 1 tena ile aliodaka pope kwa dharau kabisa
 

Isack na Wilson position moja hawapo

Jesus na Nketia position moja hawapo

Mkiambiwa kuna umuhimu wa Versatile player mnaleta maneno mengi

Ode hana umuhimu??

Ben white ???

Jesus???

Partey???

Yani sie hata akiumia Saliba Raya anakamua RCB fresh tu na kinakua kama hakijatokea kitu
 
Unalalamikia injuries kwa vile vitoto vidogo viko maeneo ya mkiani huko....ndo maana tukasema nyny bdo watoto wadogo sana🤠🤠...leo mnashuka mpk wa nane huko chinichini...mkija kukutana na Chelsea nao watakuwa wanaitaka nafasi yao....
 
Atasema walikuwa hawana hela za kutosha kusajili🤠🤠🤠...huwa namuambia wao bdo ni watoto wadogo kwa sababu nyng...mwaka jana ulikuwa msimu Bora kwao kwa sababu kuna timu zilikuwa zimejichokea...Liverkuku, Chelkenge, Spurs...Sasa hzi timu msimu huu zitataka nafasi zao...ndo maana tukichorachora tunaona Hawa watoto wadogo watamaliza ligi nafasi ya 9 huko chinichini...maana hata Aston Villa hawatamuweza kumtoa pale kwny nafasi yake....
 
Ukiandika hivi inamkera sana
 
Umesomeka mkuu....
 
La Spuds naona linatimia mdogo mdogo.
 
Hawezi kujibu
 
Zubi hataki kuondoka January

Arsenal na bench la ufundi kwa ujumla wameamua kuingia mazima kwa Luiz

Real Sociedad’s Martin Zubimendi is another player really appreciated by Mikel Arteta, and he looks perfect for their project.
But from what I’m hearing, the player is very happy at his current club and not thinking about moving at the moment. [@FabrizioRomano @caughtoffside]
 
FA wamesema watafanyia kazi malalamiko Ya VAR

KUNA WATU walisema Mikel atafungiwa


Kitendo Cha Arsenal kutoa hadharani Statement yakumuunga Mkono Mikel ,kilionesha jinsi Klabu ipo nae

Halafu Arsenal waliorodhesha matukio Kama 10 hivi ambayo marefa na VAR walitukost
 
Trossard anaanza timu yoyote kasoro Arsenal na city tu

Since signing for Arsenal for £21m last January

Vs Burnley
️Vs Sevilla
️Vs Chelsea
Vs PSV
️Vs Everton
️Vs ManCity
Vs Wolves
Vs Man City
Vs Leeds
Vs Crystal Palace
Vs Fulham
Vs Everton
Vs Leicester
️Vs Brentford
 
Huyu hataki kuondoka kwakua anavizia move ya Barca, na anaona kabisa anaenda kuziba pengo la Busquet ndiyo maana hata msimu uliopita ilikua ishu.

Tutaendelea na policy yetu, tunakufuata ukigoma ndiyo basi tena
 
Marefa watatu waliostaafu walisema lile siyo goli.

Pundits niliowasikia isipokua Neville waliunga mkono alichosema Arteta.

Alan Shearer anashangaa ni kivipi Bruno hakugewa red tangu anampiga na kiwiko Jorginho
 
Marefa watatu waliostaafu walisema lile siyo goli.

Pundits niliowasikia isipokua Neville waliunga mkono alichosema Arteta.

Alan Shearer anashangaa ni kivipi Bruno hakugewa red tangu anampiga na kiwiko Jorginho

 
Wachezaji kama hawa wakishaflop ndo baadae wanakuja kukumbuka walikosea step.

Huyu nae atakua mfano mzuri kama ilivyokua kwa akina Thomas Lemar na Houssem Aouar.

Let's move on. Dirisha la January litakua gumu ila ikiwezekana tulete signings kadhaa hasa kwenye eneo la DM.

Douglas Luiz, Aston Villa wakigoma kuuza twende Monaco kwa Youssouf Fofana, tupate na left wing mmoja.

Kule nyuma akisharudi Timber hakutakua na haja ya defender mpya kwa january, coz tuna mabeki wengi wenye quality na hapo wengine hawapati nafasi.

Hebu fikiria kitasa kama Jakub Kiwior anakaa mbao ndefu Arsenal na wakati angekua beki tegemeo Man Utd.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…