Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,106
- 3,189
Narudia tena bwana mdgo inaonekana huelewi...kwa aina ya mpira unayocheza hufiki popote...mpira wa kukimbiakimbia tu Haina nafasi...watarudi hao mabaunsa...wale wapiga viwiko watu na bdo mtaendelea kudundwa kwa sababu mna wachezaji average sana....hivi ile game ya jana kwli kabisa mngetulia mngeshindwa kupata matokeo....nyny mkishashikwa tu msikimbiekimbie kazi inakuwa imekwisha hapo....tunakumbushana tu mkirudi mnaenda kwa PSG kufanyiwa massage upya...Ubaya Ubaya tu
Piga kelele tu lakini mpaka now tumeshakukanda na tumefanya mpaka kocha wako aonekane chizi kila muda anazugumzia VAR
Wewe mwenye mpira mzuriii umefika wapi kwa hiyo miaka 20 uliopiga mpira mzuriii? Tumecheza back to back na still kila game kuna injuries tena za watu muhimu kabisa .
Tuko comfortable maana tunaelewa kwanini tumepoteza game ya jana , hatujapoteza game kisa mpira wa kurukaruka tumepoteza game na tunajua imetokea kwasababu ya injuries na si kitu kingine kwamba tuna mpira sijuiii wakurukaruka, huo mpira wakurukaruka ndo ulikufanya uwe na shot on target 1 tena ile aliodaka pope kwa dharau kabisa