Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kapiga kwenye mshono na kasema hawezi kunyamaza ikiwa ataona maamuzi ya hovyo yakiendelea kufanyika. PGMOL inaweweseka tu hata kama wanakuja na mikwala yao, na ukitaka kugundua hilo angalia mechi ya Spurs Vs Chelsea juzi VAR almost katika kipindi cha kwanza imetumika mara tisa kuchunguza matukio uwanjani. PGMOL wapo corrupted. Richard Keys mtangazaji wa BeinSport anasema kipindi yupo SkySports alisikia watangazaji wawili wamepigiwa simu na PGMOL wakionywa kuhusu kuwakosoa Marefa na wakaambiwa wakumbuke nani anayewalipa mishahara.
 
VAR Ni biashara kama biashara nyingine tu....katika ulimwengu huu ukiwa na chochote kitu nirahisi kuongezewa chochote.
Marefa nao wanahisia binafsi na presha kutoka juu😆😆😆 hasa wenye mamlaka.
Manisiti anakuwa kipenzi cha Var kwakuwa anaubora ulijitosheleza,sasa asenali hii ya kina nketia nayo inataka haki sawa na siti😆😆😆

Sidhani kama kuna timu haijawahi kunyongwa na VAR...
Kwa msimu huu vijana wa tenihag imewalamba sana kwakuwa labda wanapira patupatu.

Ile mechi ya Asenali na Nyukesto nitachelewa kuamini mpira ulikuwa umetoka,ila ulikuwa unaelekea kukamilika kutoka, kwa kuwa taratibu za mpira kuhesabiwa umetoka zinachangamoto,kikubwa asenali wacheze wakijua wanahitaji ka kuwajiba kwa gharama yoyote Var sio rafiki sanaaaa wala refa.
 
Arsenal Football Club wholeheartedly supports Mikel Arteta’s post-match comments after yet more unacceptable refereeing and VAR errors on Saturday evening.

We’d also like to acknowledge the huge effort and performance from our players and travelling supporters at St James’ Park.

The Premier League is the best league in the world with the best players, coaches and supporters, all of whom deserve better. PGMOL urgently needs to address the standard of officiating and focus on action which moves us all on from retrospective analysis, attempted explanations and apologies.
We support the ongoing efforts of Chief Refereeing Officer, Howard Webb and would welcome working together to achieve the world-class officiating standards our league demands.



Copyright 2023 The Arsenal Football Club Limited. Permission to use quotations from this article is granted subject to appropriate credit being given to www.arsenal.com as the source.
 
Nyie kondoo punguzeni kulialia, hakuna siku VAR ilishawahi kuwafavour?, mlilalamika?
Si kulialia mkuu. Kwanza tumeonewa sana na hawa watu ila ni muhimu kuwe na standards bora kwa ligi nzima na kwa timu zote. Kukiwa na fairness, kinachobakia ni burudani tu.
 
Si kulialia mkuu. Kwanza tumeonewa sana na hawa watu ila ni muhimu kuwe na standards bora kwa ligi nzima na kwa timu zote. Kukiwa na fairness, kinachobakia ni burudani tu.
Ishu ni kwamba hakuna ambae hajawahi kuonewa na VAR na pia hakuna ambaye hajawahi kutofaidika na maamuzi ya VAR, kumbuka wakat unafaidika kuna ambao waliumia pia. Kama unavyosema kuwe na fairness kw wote mana kuhujumiwa kunauma asikwambie mtu.
 
Ishu ni kwamba hakuna ambae hajawahi kuonewa na VAR na pia hakuna ambaye hajawahi kutofaidika na maamuzi ya VAR, kumbuka wakat unafaidika kuna ambao waliumia pia. Kama unavyosema kuwe na fairness kw wote mana kuhujumiwa kunauma asikwambie mtu.
Ndiyo hivyo. Kuwe na fairness kila mahali ili watu waenjoy mpira, bila kujali ni timu gani. Sisi tumeonewa zaidi ya wengi, ila kinachotuokoa ni mara nyingi tunaupiga mwingi na kushinda licha ya dhulma. Ila hatuwezi kushinda licha ya dhulma kila wakati 😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…