Yaan kamuweka adi ode kifupi anasema arsenal hatuna timu, tuanze upyaduuuuh mkuu nimekukubali hadi jesus mchezaji wa mech ndogo
76er mwenye hii ID ni shabiki wa timu gani...nisaidie mkuu kufahamu maana ametuandama sana
Umewahi kumuona aking'ara kwenye mechi kubwa consistently?duuuuh mkuu nimekukubali hadi jesus mchezaji wa mech ndogo
Ode anacheza vizuri kwenye mechi tunazokutana na mid-table teams. Kila mechi kubwa Ode anapotea.Yaan kamuweka adi ode kifupi anasema arsenal hatuna timu, tuanze upya
Sent from my BKK-LX2 using JamiiForums mobile app
Ndio maana kaachwa na man city brazaduuuuh mkuu nimekukubali hadi jesus mchezaji wa mech ndogo
Ila mashabiki tukifungwa tunatafuta kila namna ya kujiona wabovu.Sababu inayonifanya niamini kwamba arsenal haitafika mbali ni ukosefu wa aggressiveness timu inapocheza. Timu iko soft sana uwanjani.
Aina ya mpira anaofundisha Arteta hauwezi kamwe kuifanya timu ishinde mechi za mtoano na kwasababu hiyo hatutakuja kubeba makombe ya ulaya.
Kuna sehemu unaona kabisa hapa inatakiwa kupiga pasi tatu tuwe golini kwa mpinzani lakini tunasimama na kusubiria wapinzani wajipange ndio twende.
Tunafika sana kwenye box la adui lakini hatufanyi attempt. Hili nalo ni tatizo kubwa sana na ndio mahali siku zote panamfanya Trossard aonekane bora maana yeye anajaribu.
Kocha yoyote anayefanya homework yake vizuri hawezi kufungwa na arsenal kwasababu mpira wa Arteta uko predictable sana. Kocha hana mabadiliko kulingana na aina ya mchezo.
Mbaya zaidi anaenda kumsajili Havertz huku tayari anayo mizigo kama Jorginho, Rowe, Vieira, Nelson, Nketiah, Cedric na Elneny.
Zinchenko, Gabriel Jesus, Odegaard na Ramsdale ni wachezaji wa mechi ndogo japo sio mbaya kuwa nao kama squad players.
Kwa hiyo leo mnalilia sare?Mikel Arteta kuhusu goli dhidi ya Newcastle:
"Kilichotokea ni fedheha, hili bao ni la Ligi Kuu? Na Ligi hii tunasema ni bora zaidi duniani?"
"Nimekaa miaka 20 katika nchi hii na sasa nijisikia aibu. Ni fedheha kubwa sana . Tunafanya mambo ya ajabu kila wiki tena kwa kiwango cha juu.
"Tunapokuwa si wazuri vya kutosha uwanjani huwa nakubali, nainua mikono yangu juu na kuwajibika. Lakini kwa hili hapana, Haifai. Naona aibu kuwa sehemu ya hili."
Mkuu umenena sana. Hatuwezi kuwapangia timu pinzani jinsi ya kucheza. Alivyotufunga Newcastle ni sawa na tulivyopigwa na Westwast. Master Arteta anatakiwa aumize kichwa kuona tunatoboa vipi na hizi timu zinazocheza mpira wa Newcastle.Ila mashabiki tukifungwa tunatafuta kila namna ya kujiona wabovu.
Yaani Arsenal msimu uliopita iliyofukuzia ubingwa mpaka hatua za mwisho unasema Arteta mbovu?
Msimu huu tumezidiwa Points 3 tu na aliye kileleni.Unataka tuanze kucheza mpira wa kubutua butua tena?
Liva Jana Kadraw na Luton, unasemaje Liva mbovu?
Mkuu amini kuna mechi tutafungwa tu sababu ndio mpira.Newcastle wametufunga tukubali tactics zetu hazikufanya kazi.
Huyo ana afya y akili mbona anajulikana, wengine tunakuja huku jf kuondoa stress nashangaa yy ndio anakuja kuchukua stress.Washkaji mnaboa sana. Ushabiki wa mpira hautufanyi kuwa maadui na kutoleana matusi. Huu si uungwana kabisa na ni ushamba wa kiwango cha lami.
Sababu inayonifanya niamini kwamba arsenal haitafika mbali ni ukosefu wa aggressiveness timu inapocheza. Timu iko soft sana uwanjani.
Aina ya mpira anaofundisha Arteta hauwezi kamwe kuifanya timu ishinde mechi za mtoano na kwasababu hiyo hatutakuja kubeba makombe ya ulaya.
Kuna sehemu unaona kabisa hapa inatakiwa kupiga pasi tatu tuwe golini kwa mpinzani lakini tunasimama na kusubiria wapinzani wajipange ndio twende.
Tunafika sana kwenye box la adui lakini hatufanyi attempt. Hili nalo ni tatizo kubwa sana na ndio mahali siku zote panamfanya Trossard aonekane bora maana yeye anajaribu.
Kocha yoyote anayefanya homework yake vizuri hawezi kufungwa na arsenal kwasababu mpira wa Arteta uko predictable sana. Kocha hana mabadiliko kulingana na aina ya mchezo.
Mbaya zaidi anaenda kumsajili Havertz huku tayari anayo mizigo kama Jorginho, Rowe, Vieira, Nelson, Nketiah, Cedric na Elneny.
Zinchenko, Gabriel Jesus, Odegaard na Ramsdale ni wachezaji wa mechi ndogo japo sio mbaya kuwa nao kama squad players.
Huyo ana afya y akili mbona anajulikana, wengine tunakuja huku jf kuondoa stress nashangaa yy ndio anakuja kuchukua stress.
Sema mkuu ile picha ya Saka too much mzeHuyo ana afya y akili mbona anajulikana, wengine tunakuja huku jf kuondoa stress nashangaa yy ndio anakuja kuchukua stress.
Chakushangaza Saka ana rangi ya ngozi kama yake na wazazi wake na wetu sote ila mtu anasambaza picha za aina iyo.Sema mkuu ile picha ya Saka too much mze