Bahasha za mwaka huu zimekuja na mtindo mpya wa red cards kwa wachezaji wa Arsenal .... .... ... tena nyingine za mezani ... .... ... Gervino red card ridiculous, Song FA meeting ... ..... leo Jenkinson then unafikiri nini?
Hakuna cha kikosi cha pili wala nini. Kwani sio wachezaji wenu hao au?
Naona Mods mmenifanyie mtima nyongo...for the past two hrs nashindwa ku post kitu...najua n hujuma ya Wacha boy akifwatana na Mbu na AW.....sawa tu lakn.
Kweli
Usiwe na wasi wasi mkuu, the one who laughs last, laughs louder ... .... .. ndio mpira huo kuna kushinda na kufungwa, yes Manure wapinzani wetu wakubwa lakini ni point tatu tumekosa ... ... ... utachezesha kikosi ulichonacho. Carhill anaringa hataki kuchezea Arsenal sawa sawa na Mata tu, lazima upate mchezaji mzuri anayetaka kuchezea timu. Angalia Tevez hataki kuchezea Mancs thats how it goes ......
BTW Wenger alijua kikosi hiki hawawezi kuishinda Manure ... ... believe me. timu ya leo bado changa sana ukiondoa kipa, RSV, Walcott na Arshavin.
Haya ni maneno ambayo niliyasema baada ya game ya kwanza na Newcastle na kuonekana msaliti,mropokaji,namchukia Wenger n.k...]Arsenal timu yetu bado sana.......Kwa aina ya mchezo tuliocheza leo na timu iliyopangwa leo hatustahili hata kuwa kwenye top 5(ukweli ndio huu japo unauma)....
Wenger anapaswa kusajili haraka sana kabla mambo hayajaharibika zaidi,anapaswa kusajili mabeki wawili(wakati mmoja na wa pembeni kushoto mmoja).....Pia anapaswa kusajili kiungo wa kuziba nafasi ya Nasri....Huyu Ramsey leo amecheza urojo tu,alilegea kama Diaby vile,hakuwa kwenye form kabisa......Pia tunahitaji mshambuliaji wa maana ambaye atasaidiana na RVP pale mbele......Yasipofanyika haya nachelea kusema tutashika nafasi ya 10 kama siyo ya 15 msimu huu......Tumshukuru Mungu hatujafungwa leo...
Naukumbuka wimbo wa Nachechemea utunzi wake Hussein Jumbe akiwa na DDC Mlimani Park Orch. wana Sikinde Ngoma ya ukae a.k.a Nginde...
Duuh mkuu kubali kiume leo mmefungwa hayo mambo timu changa ni kosa la manager wako,sio kosa letu nyie hamjafanya usajili sio shida yetu nyie wachezaji wenu wapo majeruhi.
Manager na washika dau wengine ndio wanamakosa kwenye history wanaandika MAN UTD 8- 2 ARSENAL hayo ya timu changa utabaki nayo mwenyewe kheeeeeeeeeeeeeeeeeekeeeeeeeeeeeeeeeh
Hebu jiridhisheni kidogo.........
Hakuna cha kikosi cha pili wala nini. Kwani sio wachezaji wenu hao au?
Wacha boy...fanya kaz yako ya Itikad na uenez ipasavyo....in Winga we trust, wasikuzingu awa, bao nane kitu gan bana...safar ii mnabeba treble mbn...
Afu wee Peasant Mkulima acha uchokoz, unaleta ufioso wa mpunga, unga, bahasha hapa..kwanza jukwaa sio lako ili..embu tokaaaa!
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee