Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jorginho mzito kutrace back na Kai ni tatizo jingine.

Unless timu ipossess muda wote la sivyo Tomi ana kazi nzito na Rice hatotakiwa kujisahau kusogea mbele.

Shot taker ni Trossard kwa hawa waliopo ila yupo benchi.

Kwa maoni yangu this is a very risk line up kwa hapo kati.
 
Ndio tuingie sokoni
Safari bado mbichi kabisa hiii
 
True
 
Ode anashida gani?
 
Hatutoboi.....
 
Hatutoboi.....
Not all hope is lost.

Ushindi utategemea maelekezo waliyonayo nyukesto pia, kama maelekezo yao ni kupaki basi kama mara ya mwisho then kazi tunayo.

Jorginho ni mpiga pasi mzuri na ana vision. Tuombe Forwards ziwe on point kuona hii mipira.

Kai hua anaua attacking ability na defensive ability ya upande aliopo. Leo akibadilika au asipobadilika na kocha akagundua kabla hajasubiri dakika ya 70 then we have a chance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…