Hakuna atakaecoment hapaHuu uzi umeanzishwa mwaka 2006 lakini mpaka leo hamjawahi kunyenyua UEFA haya basi hata EUROPA ndio imewashinda jamani??
Sasa mnadiscuss nini humu?
SidhaniMawazo yangu yananambia Arteta anaweza anza na Jorginho, itategemea na kuwahi na fitness ya Partey.
But I'd always choose Partey over Jorginho.
Arteta pia anaweza akamuanzisha Jorginho kutokana na uhusiano wake na Chelsea.
So tutemee kuanza kwa either Kai au Jorginho.
Yaani acha bro. Sadly Niko mkoani. Simba kama simba Haina maana yoyote ila imejikuta imebahatika kupata mgeni mkubwa kama Mzee Wenger bila kustahili. Na wengine Sasa wamepata fursa ya kukutana na le Prof, le tout puissant, le magnifique, le grand magicien, Arsene Wenger.Najiandaa kwenda kumuona Baba yetu wa team Arsene Wenger Taifa Stadium nijambo ambalo linaweza lisijirudie tena
Yaani acha bro. Sadly Niko mkoani. Simba kama simba Haina maana yoyote ila imejikuta imebahatika kupata mgeni mkubwa kama Mzee Wenger bila kustahili. Na wengine Sasa wamepata fursa ya kukutana na le Prof, le tout puissant, le magnifique, le grand magicien, Arsene Wenger.
Mshajiandaa kumtukana Kai?
Hapo baada ya kupigwa chuma 3 huku Kai akikosa magoli 4 ya wazi
Yule dogo Hana uelewa wowote na footballMatokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana
Acha kuifananisha Arsenal na upuuzi wa Afrika.Matokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana
Tunatanguliza shukrani za dhati darajani Kwa points 3 watakazotutunuku kesho.Matokeo ya Mechi ya Simba na Ahly yawe fundisho kwa mechi ya kesho ya Arsenal na Chelsea,wengi walijua Simba atafungwa magoli mengi lakini haikuwa hivyo,sasa matumaini ya KIPUUZI tunayoaminishwa na kina Hamis humu kwamba eti kesho ni USHINDI kirahisirahisi tu kana kwamba wachezaji wa Chelsea wana mguu ni vema yapuuzwe,Mpira una matokeo ya ajabu sana
Mwanangu una hali mbaya Sana ,umegeuka kuwa mpiga ramli tu Kila Arsenal inapocheza ,jukwaa la manjesta hulitaki TenaHizi Kima zimemsimanga sana mtoto wa Zelensky kesho lazima awaonyeshe kwa nini aliwakataa Arsenyau na akaamua kujiunga na Blue Army (The Pride of London)
#Mudryk Hatrick
#Kai 2 Aerial Duel
Walio serious na ubingwa Ni manjesta yako na kocha 7hagUkiwa mgeni hapa JF halafu bahati mbaya ukaingia kwenye hili jukwaa la ARSENAL ukamsikiliza hamis77 na wafuasi wake unaweza kudhani wako serious sana na ubingwa msimu huu,kumbe wanapoteza muda na bando zao tu.
Kwa picha za Jana mazoezinMawazo yangu yananambia Arteta anaweza anza na Jorginho, itategemea na kuwahi na fitness ya Partey.
But I'd always choose Partey over Jorginho.
Arteta pia anaweza akamuanzisha Jorginho kutokana na uhusiano wake na Chelsea.
So tutemee kuanza kwa either Kai au Jorginho.
Leo tukimfumua bwana ako Kenge FC uwepo hapaHizi Kima zimemsimanga sana mtoto wa Zelensky kesho lazima awaonyeshe kwa nini aliwakataa Arsenyau na akaamua kujiunga na Blue Army (The Pride of London)
#Mudryk Hatrick
#Kai 2 Aerial Duel
Huyu hajui mpira wa Afrika hawatofautiani Sana wanazidiana figisu tuAcha kuifananisha Arsenal na upuuzi wa Afrika.
Matokeo ya kesho ni mawili tu, either Arsenal ashinde au Chelsea afungwe. Full stop.